Natafuta rafiki si kwa lengo la mapenzi

Natafuta rafiki si kwa lengo la mapenzi

78453969_bc442973-549c-4059-a385-cbfa4758bdf3.jpg
Ewaaaaa...
Hebu mwambie mleta mada umeoa jamanii, na uko na mchepuko pia!!
 
Sjaolewa na sifikirii kuolewa maana nina maisha yangu tayari.

Kwa hiyo walioolewa hawana maisha yao?

Hayo maelezo hapo juu yanaonesha wewe una madarasa ya kutosha lakini hujaelimika kiasi cha kujikomboa kifkra.
 
ndohotabu doho nikukumbushe tu, hapo kwenye kusema urafiki si kwa lengo la mapenzi unafikiri utakua na mkakati gani wa kuhakikisha hamuangukii au kutumbukia huko? Nnaelewa hauna lengo la kutafuta mpenzi, lakini haya mambo huwezijua...rafi anakua rafiki kweli sasa baadae mnajikuta mnamalizia tu mambo mengine japo mara nyingi itaathiri urafiki wenu kwa namna moja ama nyingine.

Nimekuelewa. Ila mimi ninamaanisha tutabaki marafiki tu. Ndio maana sijali hata kama ameoa au ana mpenzi kwa sababu sifikiriii kuwa na mpenzi, nina mbinu zote za kunifanya nisiangukie mapenzini hivyo haitatokea. Nahitaji rafiki tu.
 
ndohotabu doho nikukumbushe tu, hapo kwenye kusema urafiki si kwa lengo la mapenzi unafikiri utakua na mkakati gani wa kuhakikisha hamuangukii au kutumbukia huko? Nnaelewa hauna lengo la kutafuta mpenzi, lakini haya mambo huwezijua...rafi anakua rafiki kweli sasa baadae mnajikuta mnamalizia tu mambo mengine japo mara nyingi itaathiri urafiki wenu kwa namna moja ama nyingine.
Hiyo inaitwa rafiki mpenzi
 
Back
Top Bottom