Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
EwaaaaaKwa msisitizo zaidi...
![]()
[emoji23][emoji23][emoji23] kumbee huu uhusiano wangu na Shunie unaujua? Aisee dunia ina mamboNijibu hebu, babe ake mdogo wangu!!!
Shunie ukuje!!
Ewaaaaa
Mleta mada upooo!!! Kama mume wa mtu maziwa basi haya yana vimelea vikali!!
Kweli mkuu!miaka 40 co kukomaa,kukomaa ni akili za mtu
Sawa.Sawa hakuna mwanadamu mkamilifu lakini sio wanadamu wote wana udhaifu wa kuingia mapenzini.
Wachache Sana'a aseeeNi kweli... lakini nategemea angalau wengi wao katika umri huo wanajielewa
We nijibu tuu babe ake shunie!![emoji23][emoji23][emoji23] kumbee huu uhusiano wangu na Shunie unaujua? Aisee dunia ina mambo
Sasa nashindwa kukujibu sababu sijaelewa maana ya kukomaa pande zote
Hahaha
Mwenyewe naona foleni siwezi... Babu kanshinda tabia!!
Kama imejaaa utakuwa ngumu kwa wengine kupata urafiki!Uwiiii.... inbox imejaaa usijali nitakujibu
HahahaKalazimishwa wapi?
![]()
Sawa.
Lakini kwa nini unafikiri hao waliokuja PM ambao wana wake zao humu na umegundua hao wake zao wanakodoa macho kuhusu hili jambo?
Hahaha
Mleta mada ana nini na wewe lakini?! Hebu akajibu pm za wahenga wengine hukoo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tayari jiandae kumuona mchepuko wako na rafiki hata kama sio mie!
Mie Sijaelewa nidokeze basiWenye jicho la tatu tumeshakuelewa mama.....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kalazimishwa wapi?
![]()
Umeichoka amani eehNamtaka Babu awe rafiki yangu. Ana sifa zote ujue
50Mimi nina miaka mingapi?!