Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namtaka Babu awe rafiki yangu. Ana sifa zote ujue
Hata wewe (unaweza)unaingia kwenye hilo kundi, maana ndege wanaofanana huruka pamojaWote ni wezi, mara zote mwizi hana imani na yeyote!
HahahaHata wewe (unaweza)unaingia kwenye hilo kundi, maana ndege wanaofanana huruka pamoja
Hahahahaaaa.Hahaha
Jirani njoo uchukuwe soda
Hapa nayoosha mikonoNasikia wewe moyo wako kama wa injini ya fiat, unaweza kuhimili mikikimikiki
Hata ukiyawaza tuu ni shidaHavitanidhuru maana sitayanywa
Hahaha
Ndo huyooo!! Ila urafiki wenu nauamini!!!
JamaniKwakweli urafiki wangu na Shunie wa sasa hivi ni wa afya sana, hauna maumivu. Akitaka kwenda kwenye foleni zake namwambia tu , nenda rafiki ila uwe mwangalifu. I will be there when you need someone to talk to. Sina wivu tena kwa sababu we are just friends. Imebaki tu jina Baba Yeyoo na Mama Yeyoo.
Siyo anaweza. Huyo ni mdangaji hana lolote. Hivi unaweza ukawa na maisha mazuri usiwe na marafiki?Hata wewe (unaweza)unaingia kwenye hilo kundi, maana ndege wanaofanana huruka pamoja
Umejua kunifurahisha saaana!!Siyo anaweza. Huyo ni mdangaji hana lolote. Hivi unaweza ukawa na maisha mazuri usiwe na marafiki?
Fumbo mfumbie mjinga mwerevu atambueSiyo anaweza. Huyo ni mdangaji hana lolote. Hivi unaweza ukawa na maisha mazuri usiwe na marafiki?
Hahahhahaha hivi amesema umri wake eh?Hakuna urafiki wa hivyoo.. Usitake kuvunjaa ndoa za watua....! Me ni kijana natafuta rafiki wa umri wakooo...[HASHTAG]#kiben10[/HASHTAG]
Hahahahha hahahah.Siyo anaweza. Huyo ni mdangaji hana lolote. Hivi unaweza ukawa na maisha mazuri usiwe na marafiki?