Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,051
- 5,104
Yapo mabumbuazi tu na yapo na miaka 40 ila akili kijiko cha chai, by the way nipo hapa nna kila kitu isipokua hiyo miaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka shemeji ukidangwa ndoa hauna [emoji14] [emoji14] [emoji14]Dada shemeji......yani mnatuita sisi '
danga'
[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kibuti??? Thubutuuuuu. Si urafiki wa kawaida. Mama p
Itabidi uwe white angel labda ung'eng'e utapanda automatikale[emoji29] [emoji29] hivi kwa nn nilikimbia umande. Sijaambulia neno hata moja.
Sisi ni marafiki automatic hamna aliyeomba urafiki.Acha hizo bhana... mbona wewe ni rafiki yangu?
Kwahiyo umefuta kauli?Sisi ni marafiki automatic hamna aliyeomba urafiki.
But wewe si ni mbabuu haina shidaa
Daah nimejihis inferior sanaItabidi uwe white angel labda ung'eng'e utapanda automatikale
Sifutiii.Kwahiyo umefuta kauli?
Kumbe kinapanda afu unatuzuga enh?Daah nimejihis inferior sana
Sawa mama p. Kwa maslahi mapana ya p nimeamua kusitisha huu mpango.Baba P wangu nakupenda sana.
Usiunyanyase moyo wangu Mimi sitaki huo u rafiki.
Utapimwa mkojo...Sifutiii.
No retreat no surrender
Sasa si anapesaa na maisha yakee...!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hahahhahaha hivi amesema umri wake eh?
Kibenten atakulisha nini?? Wanasema eti ana DANGA
Niulize sasa maana yake kama najuaKumbe kinapanda afu unatuzuga enh?
Hahah...Kaka shemeji ukidangwa ndoa hauna [emoji14] [emoji14] [emoji14]
Hauna umri ilhari umeweka miaka 40, punguza basi japo kidogoUrafiki hauna umri. Babu pia ana haki ya kufurahi na marafiki as far as nitakuwa rafiki mwema
Na Mungu akulinde Baba P wangu .Sawa mama p. Kwa maslahi mapana ya p nimeamua kusitisha huu mpango.
Love u[emoji8] [emoji8] [emoji8]
Kwani mbabu haingii?Sisi ni marafiki automatic hamna aliyeomba urafiki.
But wewe si ni mbabuu haina shidaa
Hahahhahaha. Shauri yako ukadangwe na weweSasa si anapesaa na maisha yakee...!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ngastuka!!!Niulize sasa maana yake kama najua