Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Uwe makini jamani hata kama sipo shemeji zako wapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwe makini jamani hata kama sipo shemeji zako wapo
Ila mi akiingia anga zangu namhamisha sura[emoji23][emoji23] huyu babu hafai
Sawa nimekuelewaUwe makini jamani hata kama sipo shemeji zako wapo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] laana sasa unatafutaIla mi akiingia anga zangu namhamisha sura
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kimbilia fulsaNipo hapa nina vigezo vyote ulivyotaja
Hamna laana maana hawa wazee wanao kula vifaranga hawana laana maana wanakuwa wamejilaan wao wenyewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] laana sasa unatafuta
Mnanionea bure tu....[emoji23][emoji23] huyu babu hafai
Unajitafutia laana ya bure tuIla mi akiingia anga zangu namhamisha sura
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Huwezi kunilaan maana wewe unakula vifarangaUnajitafutia laana ya bure tu
Babu punguza bhnMnanionea bure tu....
[emoji23][emoji23][emoji23]umenishinda tabia malaika !![emoji29] [emoji29] hivi kwa nn nilikimbia umande. Sijaambulia neno hata moja.
Nguvu ya laana wanaiua kwa matendo yao machafu [emoji23][emoji23]Hamna laana maana hawa wazee wanao kula vifaranga hawana laana maana wanakuwa wamejilaan wao wenyewe
Baba yeyoo namuelewaUlikua unataka nini eti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] baba yeyoo jumba bovu linamwangukia sakayo na wakati uliniacha mbele yake
HahahaSijaelewa kwa nn kashangaa jamani
Hahhaha hivi Baba yeyoo unamuelewa kweli dada unakumbuka talaka aliyotoa jukwaani halafu sasa hivi na yeye member wa uzi wa usiku wa manane na mabebez anao kuleBaba yeyoo namuelewa
Mbona mie nakufahamu siku nyingi
Urafiki upiii anaoutafuta na marafiki anao wengiHahaha
Anataka urafiki