Natafuta rafiki si kwa lengo la mapenzi

Natafuta rafiki si kwa lengo la mapenzi

Babu punguza bhn
Nipumzike kwenye nini??

images
 
Yaani uliosoma nao wote hujaona, wa mtaani kwako wote hujaona??
 
Baba yeyoo namuelewa
Hahhaha hivi Baba yeyoo unamuelewa kweli dada unakumbuka talaka aliyotoa jukwaani halafu sasa hivi na yeye member wa uzi wa usiku wa manane na mabebez anao kule
 
Back
Top Bottom