steveslove
Senior Member
- Jul 18, 2012
- 110
- 32
Habari wana JF,
Ningependa kuwa na rafiki wa karibu (sio wa kimapenzi) ambae naweza kumwamini kwa kila jambo langu, kama unakidhi vitu vifuatavyo naomba uniPM
1. Sichagui jinsia jina dini kabila
2. Kwa dini yoyote uliyonayo uwe una hofu ya Mungu
3. Umri 32+
4. Usiwe umeoa au kuolewa ila kama una mtoto au watoto sawa
5. Uwe unaweza kutunza siri
Asanteni
Ningependa kuwa na rafiki wa karibu (sio wa kimapenzi) ambae naweza kumwamini kwa kila jambo langu, kama unakidhi vitu vifuatavyo naomba uniPM
1. Sichagui jinsia jina dini kabila
2. Kwa dini yoyote uliyonayo uwe una hofu ya Mungu
3. Umri 32+
4. Usiwe umeoa au kuolewa ila kama una mtoto au watoto sawa
5. Uwe unaweza kutunza siri
Asanteni