Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
😅😅Kiingereza gani anachokijua huyu mtoa mada zaidi cha kuombea maji tu,, ni ujinga wa kuiga iga mambo tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅Kiingereza gani anachokijua huyu mtoa mada zaidi cha kuombea maji tu,, ni ujinga wa kuiga iga mambo tu.
Sema unataka ushahidi wako wewe unaotaka uwe kitu fulani .....Akitajwa Mungu nyie mnakuja kushambulia from nowhere kwamba hamjiamini ?Atheist haimaniishi kuwa na akili cjui nn; ni kusema tu Hakuna ushahidi wa Mungu na mazingaombo mengine yoyote na km yapo tupe ushahidi basi; simple tu. Nyie religious wengi ndo mnakurupukaga na kujifanya mnajua kila kitu when mnaungua na jua tu.
Hauna hoja ya kunishawishi ndio maana kidunia nyie mpo wachache na dini inayokuwa inajulikana .Ata wewe siku ukifikiri vizur utagundua mambo mengi ni hadithi zisizo na mashiko ndio maana zimefungwa kwenye imani , AHADI + KIFUNGO + VITISHO = DINI
ulikutana nae wapi mkuuShetani anamwamini Mungu na kumkiri ukuu wake tena kwa kutetemeka..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wao ndio wajuaji na kujifanya wanamjua huyo Mungu sana , wakigeukiana wenyewe kwa wenyewe wanatukanana matusi ya nguoni kisa kuonyesha dini ya nani ni bora kuliko ya mwingne na kubaguana , haya makasiriko yao kuhusu mtu kupinga Mungu ni kuona wala huyo Mungu wao hajigusu watu wanapopinga uwepo wake.Atheist haimaniishi kuwa na akili cjui nn; ni kusema tu Hakuna ushahidi wa Mungu na mazingaombo mengine yoyote na km yapo tupe ushahidi basi; simple tu. Nyie religious wengi ndo mnakurupukaga na kujifanya mnajua kila kitu when mnaungua na jua tu.
Wamekalili ushirikinaWatu wenye akili finyu bwana; Atheist haamini supernatural aina yoyote sio Mungu wenu au Miungu au Malaika au Shetani Sasa cjui mnavokazana na uyo shetani mnamtoa wap🥲🥲🥲 mwenye akili ameelewa nyie wenye akili za mavi na Miungu yenu ambayo haiwasaidii chochote ndo fyokofyoko never ending.
SawaNiko Dar, umri wangu 28 years old. Natafuta rafiki wa kike asiyeamini Mungu, na Shetani pia (pure atheist). Nicheki DM.
Binadamu wote ni social and spiritual beings naturally either aabudu Mungu au miungu akiwemo na shetani hao atheist ni kujidanganya wote hao wengi wao wako upande wa shetani maana usipofanya ya Mungu automatic utafanya ya shetani duniani ni evils and goods only hakuna nje ya hapo.Watu wenye akili finyu bwana; Atheist haamini supernatural aina yoyote sio Mungu wenu au Miungu au Malaika au Shetani Sasa cjui mnavokazana na uyo shetani mnamtoa wap🥲🥲🥲 mwenye akili ameelewa nyie wenye akili za mavi na Miungu yenu ambayo haiwasaidii chochote ndo fyokofyoko never ending.
Wewe una akili?Mbona kama ume mind bro?
Binadamu hufanya mabaya kwa sababu nyingi tu na hao wenye dini wasiwe na dini wote wanayafanya hayo hayo Sasa km hao wenye dini mb bado wanabaka, wanaua, Wala rushwa etc?Binadamu wote ni social and spiritual beings naturally either aabudu Mungu au miungu akiwemo na shetani hao atheist ni kujidanganya wote hao wengi wao wako upande wa shetani maana usipofanya ya Mungu automatic utafanya ya shetani duniani ni evils and goods only hakuna nje ya hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kila binadamu ni social. Pia hakuna spiritual beings, we are solely physical entities. No one can astral project au transcend to another level like heaven etc. Ayo nimambo yakufikilika. Na concept ya good na evil ni kila mtu jinsi anavyoona. Mfano tu Mungu wenu wa imagination, he is evil, and not that good, hawezi acha watu wake wanaumwa, wanakufa na wanateseka. Na bado mnampenda ata akichoma wazazi wako motoni, na wewe utasema eti ni dhambi zao, huoni kama huo ndio ushirikina na ushetani. Dini zifutwe aise. Mnafundishwa kinyume cha good na evil.Binadamu wote ni social and spiritual beings naturally either aabudu Mungu au miungu akiwemo na shetani hao atheist ni kujidanganya wote hao wengi wao wako upande wa shetani maana usipofanya ya Mungu automatic utafanya ya shetani duniani ni evils and goods only hakuna nje ya hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unazo bhana usingekuwa humu.Sina bro. Naomba niazime kwa muda.