Kutokula nyama ni aina ya utamaduni. Vipi wewe kwa akili yako kitimoto sio nyama?Ila kitimoto awe anakula
Watakuuliza asiyekula nyama ipi.Niko Arusha
Natafuta rafiki wa kike asiyekula nyama, asiwe mfia dini za wazungu
Mimi ni mweupe maji ya kunde,umri wangu miaka 35,sijaoa wala sina mtoto
Rafiki ninayemtaka
Awe mweusi
Awe mrefu
Asiyejichumbua
Asizidi miaka 28
Asiwe na mtoto
Mawasiliano yangu: brightcreeper87@gmail.com
Mbona wenye rasta kama za Bob Marley hawali nyama lkn wanakula kuku.?Kutokula nyama ni aina ya utamaduni. Vipi wewe kwa akili yako kitimoto sio nyama?
DuuuhMbona wenye rasta kama za Bob Marley hawali nyama lkn wanakula kuku.?
🤣🤣🤣Ila kitimoto awe anakula
Watakuuliza asiyekula nyama ipi.
Una uelewa mdogo sana wa mambo. Kutokula nyama ndo uhalisia wa maisha ya mtu mweusivigezo viiingi ww sema unatafuta malaya la jf likufuate pm muyajenge....
mtu asiekula nyama huyo naye ana mtindio wa ubongo maana unafuata tamaduni za kizungu na kuzifia ila dini zao hutaki kuzifia rasta wa zamani walikua na akili wa sasa vilaza watupu
Kawauliza wao sasa, mimi sili nyama yoyoteDuuuh
...........na awe tayari kula cha Uarushani!Niko Arusha
Natafuta rafiki wa kike asiyekula nyama, asiwe mfia dini za wazungu
Mimi ni mweupe maji ya kunde,umri wangu miaka 35,sijaoa wala sina mtoto
Rafiki ninayemtaka
Awe mweusi
Awe mrefu
Asiyejichumbua
Asizidi miaka 28
Asiwe na mtoto
Mawasiliano yangu: brightcreeper87@gmail.com
Brother don't attack me,I didn't attack you. Sipendi interaction na mtu wa tamaduni tofauti na tamaduni yangu ndo maana nimesema asiyekula nyamaKwani akila wew unadhurika na nn?, Wew kama huli yeye si atakupkia milenda yako. Mashart ya kipumbav inamaana mkiish nae ndugu wanaotumia nyama wasije au wasipikiwe?
Hii mifugo yote Africa wanafuga watu weupe?Una uelewa mdogo sana wa mambo. Kutokula nyama ndo uhalisia wa maisha ya mtu mweusi
Swali zuri linahitaji kuelimishwa kwa mapana sana. Hata hivyo sijaja hapa kupinga anachokiamini mtuHii mifugo yote Africa wanafuga watu weupe?
Acha ubahili kijana, kama wewe huli mbona unalazimisha na mwenzeko asile, acha ubinafsiKutokula nyama ni aina ya utamaduni. Vipi wewe kwa akili yako kitimoto sio nyama?
Nielewe, sìtafuti mtu anayekula nyama ili nije nimuachishe. Natafuta mwenye utamaduni huoAcha ubahiri kijana,kama wewe huli mbona unalazimisha na mwenzeko asile,acha ubinafsi
Nielewe,sìtafuti mtu anayekula nyama ili nije nimuachishe. Natafuta mwenye utamaduni huo
Ukikosa uelewa wa tamaduni za mtu mweusi ndo utaniita bahiri,kutokula nyama haina maana sina kitu,ni utamaduni niliokuwa nao