TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
Kwahiyo ile zamba Za kale uwindaji walifanya kwa dhumuni la kupata ngozi tu?Una uelewa mdogo sana wa mambo. Kutokula nyama ndo uhalisia wa maisha ya mtu mweusi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo ile zamba Za kale uwindaji walifanya kwa dhumuni la kupata ngozi tu?Una uelewa mdogo sana wa mambo. Kutokula nyama ndo uhalisia wa maisha ya mtu mweusi
Mm mwenyewe situmiagi nyamaNaona mtoa maada anashambuliwa bila sababu, yupo sahihi kutokana na itikadi yake. Hua Kuna vegeterean hawatumii nyama Ila products zake wanazitumia ikiwemo na samaki afu Kuna vegan ambao hawatumii any kind of meat mpaka products zake. Pia kuhusisha ubahili na hizo itikadi mnafail kwa sababu sometimes vyakula vinavyoreplace nutrients zilizopo kwenye nyama ni ghali zaidi. Mwacheni mkuu apate wa kufanana nae.