Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
Mkiwa ndani hutakula.Mwambie mie nakula mpaka simbilisi
Ukienda kusuka saloon, uko unafakamia Kila aina ya nyama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkiwa ndani hutakula.Mwambie mie nakula mpaka simbilisi
Siwezi kujiumiza kwa kweli....kila mtu apate zigo lake...avute subira atapata 😜Mkiwa ndani hutakula.
Ukienda kusuka saloon, uko unafakamia Kila aina ya nyama.
Naachaje kula nyama jamani, haiwezekani. Labda daktari asemeSasa kama ndo hivo, zikija sikukuu tutakula nini mahi, .....mchicha, Hapana!!!
Wadogo zangu
Demi, Evelyn Salt ,To yeye, Lamomy na Leejay49 ni marastafari, wamekusikia
Ngoja niwastue waje Arusha.
Niko ndio muhimu.Siwezi kujiumiza kwa kweli....kila mtu apate zigo lake...avute subira atapata 😜
Wapumbav sana hata wanawake walokulia arusha kuwaoa inahtaj moyo sana sanaEti Hili chalioo la Arusha mibangi inamfuruga Sasa huli nyma kwamba ndugu nao wasile madogo wa Arusha acheni mibangi
....ukishapona, kazi inaendelea, hatareeeeNaachaje kula nyama jamani, haiwezekani. Labda daktari aseme
Ila kitimoto awe anakula
Sasa nisipokula nyama nitaenjoy nini maisha yenyewe mafupi haya madame😃😂Sasa kama ndo hivo, zikija sikukuu tutakula nini mahi, .....mchicha, Hapana!!!
Wadogo zangu
Demi, Evelyn Salt ,To yeye, Lamomy na Leejay49 ni marastafari, wamekusikia
Ngoja niwastue waje Arusha.
Ila atampata wa size yake.Sasa nisipokula nyama nitaenjoy nini maisha yenyewe mafupi haya madame😃😂
Kwakweli, akiona kuchelewa apunguze kigezo hicho cha nyama maana sio rahisiIla atampata wa size yake.
Tuvute subira
...na sahv kuna Kila style ya upikaji wa nyama 🥩🍗🍖Kwakweli, akiona kuchelewa apunguze kigezo hicho cha nyama maana sio rahisi
Yaani hakuna kukinai,, ni bandika bandua😋😋...na sahv kuna Kila style ya upikaji wa nyama 🥩🍗🍖
....unaweza kula nyama mwezi mzima kwa style mpya.Yaani hakuna kukinai,, ni bandika bandua😋😋
Yaani hakuna kukinai, unabadilisha tu upikaji.....na sahv kuna Kila style ya upikaji wa nyama 🥩🍗🍖
Yeah inabid ufeel ile real taste....unaweza kula nyama mwezi mzima kwa style mpya.
Nyama tamu jamani....sema isiwe na maviungo mengi mengi
Kabisa mwali wangu.Yaani hakuna kukinai, unabadilisha tu upikaji..