Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa ufupi wako huo huwezi kupata mwanamke unayemtaka.Niko Arusha
Natafuta rafiki wa kike asiyekula nyama, asiwe mfia dini za wazungu
Mimi ni mweupe maji ya kunde, umri wangu miaka 35, sijaoa wala sina mtoto
Rafiki ninayemtaka
Awe mweusi
Awe mrefu
Asiyejichumbua
Asizidi miaka 28
Asiwe na mtoto
Mawasiliano yangu: brightcreeper87@gmail.com
Kwenye nyama pagumu acha tukae pembeni
Pengine Mimi ndio sielewe; hivi kwenye issue sensitive sana kama hii, kipi kinatangulia?; kanuni, sheria, taratibu, miongozo au UPENDO (fall on love). Tena unasema RAFIKI NINAYEMTAKA. Brother, pole sana sana. Kupata mwenza sio kama unakwenda kununua bidhaa Kariakoo, kwamba nataka simu yenye specs hizi na hizi, hapana, things come naturally. Sawa sisemi kuwa husiwe na attributes zako usipendazo, ila don't be too rigid.Niko Arusha
Natafuta rafiki wa kike asiyekula nyama, asiwe mfia dini za wazungu
Mimi ni mweupe maji ya kunde, umri wangu miaka 35, sijaoa wala sina mtoto
Rafiki ninayemtaka
Awe mweusi
Awe mrefu
Asiyejichumbua
Asizidi miaka 28
Asiwe na mtoto
Mawasiliano yangu: brightcreeper87@gmail.com
😂😂Ila kitimoto awe anakula
OyaaMbona wenye rasta kama za Bob Marley hawali nyama lkn wanakula kuku.?
uchoyo nayo na uchumiUna uelewa mdogo sana wa mambo. Kutokula nyama ndo uhalisia wa maisha ya mtu mweusi