Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usije ungea huo ujinga mbele ya mmasai halisiaUna uelewa mdogo sana wa mambo. Kutokula nyama ndo uhalisia wa maisha ya mtu mweusi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Cha Arusha awe anatumia? Kuna dada yangu anaulizia hapa
Niko tofauti sana na unavyonifikiria,I believe in ancient black man civilization
AsanteKuna Watu wengi sana hawali Nyama na mleta mada anatafuta watu wa aina hiyo, kila lakheri kwako.
I believe in black man civilization, sihitaji hata huyo mtumia majaniHujajibu swali la bhangi, vp unahitaji awe mvutaji? Isije ikawa hallucinations za cannabinoids ndio zinaongea?
Wewe ndo huelewi culture za dunia zaidi ya kujua mazingira ya nyumbani kwenu. Suala la kutokula nyama ni culture/utamaduni na sio mashartiUna masharti utafikiri mganga wa dumba
😃😃😃huna lolote eti asiyekula nyama wew ni bahili
umepiga mahesabu yako huko bei ya nyama
kwa Sasa ipo juu hutaweza gharama ukaona uje na swaga za
asiyekula nyama🤣🤣🤣 mfyuuuuu
ila kweli nyama si nzuri kiafya tunatakiwa tule mboga mboga na samaki😉
[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23]Asiekula nyama? Unataka ukamvutishe Mabhangi mtoto wa watu?
Eti Hili chalioo la Arusha mibangi inamfuruga Sasa huli nyma kwamba ndugu nao wasile madogo wa Arusha acheni mibangiKwani akila wew unadhurika na nn?, Wew kama huli yeye si atakupkia milenda yako. Mashart ya kipumbav inamaana mkiish nae ndugu wanaotumia nyama wasije au wasipikiwe?
Kwa hyo wakija dunguzenu hatakula kisa niniy hamliNielewe,sìtafuti mtu anayekula nyama ili nije nimuachishe. Natafuta mwenye utamaduni huo
Ukikosa uelewa wa tamaduni za mtu mweusi ndo utaniita bahiri.