Natafuta rafiki wa kike

Natafuta rafiki wa kike

Jimmy19823

Member
Joined
Jun 9, 2009
Posts
28
Reaction score
8
Hello wana JF, natumaini muko wazima.
Mie ni kijana mvulana, ninatafuta rafiki wa kike ambaye tunaweza kuanzia hapo kimahusiano mpaka kutimiza malengo ya kuishi pamoja kimaisha.
Msichana awe na sifa angalau zifuatazo.
Imani: Awe mcha Mungu. God fearing lady
Umri: miaka 22-28
Tabia: awe mwenye tabia nzuri, mwenye heshima, mwenye haiba, smart, mwenye upendo wa kweli, mchangamfu,
Elimu: Awe na elimu kuanzia Diploma, hata kama anasoma degree mwaka wa mwisho pia itafaa. Awe na hamu ya kujiendeleza kimasomo mbeleni
Umbile: Mrefu wa wastani, asiwe mnene sana, awe simple.
Location: Mimi nakaa na kufanya kazi Dodoma, awe anakaa Dodoma au mikoa ya karibu na dodoma, au awe flexible hasa katika kuja dodoma.
Kama uko interested, nitumie details zako kwenye e-mail hii luminge82@yahoo.com . Nitakujibu mara moja nipatapo email yako.
Nawasilisha.
 
Kweli upo serious maana tangazo lako lina kila kitu isipokuwa hujaeleza kama huyo binti awe dini gani, kama kazaa unalipokeaje hilo?
 
Hello wana JF, natumaini muko wazima.
Mie ni kijana mvulana, ninatafuta rafiki wa kike ambaye tunaweza kuanzia hapo kimahusiano mpaka kutimiza malengo ya kuishi pamoja kimaisha.
Msichana awe na sifa angalau zifuatazo.
Imani: Awe mcha Mungu. God fearing lady
Umri: miaka 22-28
Tabia: awe mwenye tabia nzuri, mwenye heshima, mwenye haiba, smart, mwenye upendo wa kweli, mchangamfu,
Elimu: Awe na elimu kuanzia Diploma, hata kama anasoma degree mwaka wa mwisho pia itafaa. Awe na hamu ya kujiendeleza kimasomo mbeleni
Umbile: Mrefu wa wastani, asiwe mnene sana, awe simple.
Location: Mimi nakaa na kufanya kazi Dodoma, awe anakaa Dodoma au mikoa ya karibu na dodoma, au awe flexible hasa katika kuja dodoma.
Kama uko interested, nitumie details zako kwenye e-mail hii luminge82@yahoo.com au unaweza kuniPM. Nitakujibu mara moja nipatapo email au PM yako.
Nawasilisha.
 
Huyo binti kimsingi awe hajazaa, halafu dini ni mkiristo (mie ni RC)
 
Hakuna vigezo vyovyote vya rangi kwa maana ya mweupe au mweusi? Vp kuhusu kabila?
 
Mtaani kwenu hakuna wanaofaa au wote wamekukataa.
 
Sifa zangu zinaendana na hizo tajwa japo juu..lakn ukitaka kujua mengi kuhusu mm unaweza kunitumia mail au kunipm
 
Rangi sio isssue sana ila akiwa maji ya kunde hivi poa pia. Kabila... yale makabila yote yanayokubalika kwa tabia nzuri na heshima.
 
@Jimmy! Mdg wng am just edge a wills to u, mke kw maana halisi ya mke kumtafuta kw style unayoitumia am sure si njia sahihi coz those c.v which you mentioned abt, it's not easy 4 a lady 2 express behavior herself! Try 2 find a wife 2 b around ur view site "physical" hii habari ya mitandaoni it's not perfectable so far.
 
Daaah!hum hamna duu mwny cfa hzo,afu weng hum wameolewa wachache 2 ndo wameachika na walio achka wanavijeba vyao,na wajane ila wakuhesabu,so cdhan ka utafanikiwa,ukikosa kbsa unichk ntakuhlp
 
Hello wana JF, natumaini muko wazima.
Mie ni kijana mvulana, ninatafuta rafiki wa kike ambaye tunaweza kuanzia hapo kimahusiano mpaka kutimiza malengo ya kuishi pamoja kimaisha.
Msichana awe na sifa angalau zifuatazo.
Imani: Awe mcha Mungu. God fearing lady
Umri: miaka 22-28
Tabia: awe mwenye tabia nzuri, mwenye heshima, mwenye haiba, smart, mwenye upendo wa kweli, mchangamfu,
Elimu: Awe na elimu kuanzia Diploma, hata kama anasoma degree mwaka wa mwisho pia itafaa. Awe na hamu ya kujiendeleza kimasomo mbeleni
Umbile: Mrefu wa wastani, asiwe mnene sana, awe simple.
Location: Mimi nakaa na kufanya kazi Dodoma, awe anakaa Dodoma au mikoa ya karibu na dodoma, au awe flexible hasa katika kuja dodoma.
Kama uko interested, nitumie details zako kwenye e-mail hii luminge82@yahoo.com . Nitakujibu mara moja nipatapo email yako.
Nawasilisha.

Ushazoea vya kuchinjwa vya kuwinda huwezi..nafkiri ukipost kule fcbk utapata mrejesho fasta
 
@Jimmy! Mdg wng am just edge a wills to u, mke kw maana halisi ya mke kumtafuta kw style unayoitumia am sure si njia sahihi coz those c.v which you mentioned abt, it's not easy 4 a lady 2 express behavior herself! Try 2 find a wife 2 b around ur view site "physical" hii habari ya mitandaoni it's not perfectable so far.

Better tel'em lest 'em fal'on his shit.
 
duh! jimmy vigezo vyote vimo dini tu tumepishana ngoja nikuchikie kwetu huku.

mi nataka vigezo kama hv ila awe islamic,umri kuanzia 18-24,naishi Dar nipo moshi kwa sasa!changamka Zakiyah...niPM
 
Back
Top Bottom