Natafuta rafiki wa kike.

ops

Senior Member
Joined
Feb 6, 2012
Posts
112
Reaction score
5
Habari za leo wanajamii forum, Mimi ni kijana wa miaka 28, naishi Dar, Nina degree moja ya utawala, natafuta rafiki wa kike kuanzaia miaka 21-28 ,elimu yake kuanzia kidato cha nne na kuendelea, awe serious, wenye tabia nzuri na asiwe na dharau, nadhani kwa mungu hakuna aliye kamilika japokuwa tabia zinatofautina, kwa maelezo zaidi mhassani84@yahoo.com. mungu awabariki wote, naomba kuwasilisha.
 

Urafiki wa aina gani?
 
Ni rafiki wa mahusiaono, japokuwa mpaka tujuane vizuri tabia, kwasababu nia yangu na madhumuni ni juishi pamoja, na siyo kumpotezea mtu muda wake.
 
Ni rafiki wa mahusiaono, japokuwa mpaka tujuane vizuri tabia, kwasababu nia yangu na madhumuni ni juishi pamoja, na siyo kumpotezea mtu muda wake.

bob mazishi tu wewe, mchumba wa kuoa unamtafuta kwenye internet....??!!! mpaka unamaliza chuo hukuona yeyote?
 
Jamii Forum haina matatizo, zaidi ya kutuunganisha pamoja na siyo kutugawa vipande vipande
 
Huo ni mtazamo wako, mchumba wa kuoa anapatikana popote pale.
 
Sihitaji kujua umri wako ila kwa miaka uliyobahatika kuishi baada ya balehe kama hukuwahi kupata unayeita rafiki wa kike uso kwa uso likely utakuwa na moja ya matatizo yafuatayo:-
1-Huna muda mrefu kuanzia umebalehe
2-Ni mseminari uliyepata uhuru juzi juzi baada ya kuhitimu kidato cha sita.
3-Una haya ya kuzungumza nao pindi upatapo wasaa,na hofu yangu hata ukimpata mtakuwa mnachart tu(even ifmnaishi pamoja)
4-Utakuwa player sana kwa hiyo umeshazoeleka na sasa unatumia mfumo wa mawasiliano pepe kutanua himaya yako!
5..
6...
.....
100....
Kama ni none of abave na kweli wewe ni mpya kwenye hii tasnia basi kila la kheri madhali umeweka mawasiliano utapata!
 
huo ni mtazamo wako au uelewa wako,
 
Hayo maneno wasema wewe siyo mimi,
 
bob mazishi tu wewe, mchumba wa kuoa unamtafuta kwenye internet....??!!! mpaka unamaliza chuo hukuona yeyote?

Jamani kwani ugomvi? heee!!!! kwani unadhani hao wa kwenye internet wanapatikana wapi? porini? hivi unayajua mapenzi ya chuo wewe? chuo unakuwa na mtu baada ya kumaliza chuo tu kila mtu anajula kona yake, niwachache sana wanao bahatika............... na hilijukwaa ndio kazi yake hii ya kutafuta marafiki na wachumba.
 
Mimi ni muslam but sichagui dini naangalia tabia, nafanya kazi halali inayoniingizia kipato, nipo seriuos sijui wewe?
 
nipo serious sijui wewe? nafanya kazi halali inayoniingizia kipato, dhehebu langu ni muslam but mimi sijachagui dini but heshimu na tabia nzuri ndiyo kipaumbele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…