Habari za leo wanajamii forum, Mimi ni kijana wa miaka 28, naishi Dar, Nina degree moja ya utawala, natafuta rafiki wa kike kuanzaia miaka 21-28 ,elimu yake kuanzia kidato cha nne na kuendelea, awe serious, wenye tabia nzuri na asiwe na dharau, nadhani kwa mungu hakuna aliye kamilika japokuwa tabia zinatofautina, kwa maelezo zaidi mhassani84@yahoo.com. mungu awabariki wote, naomba kuwasilisha.