Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Ole wakooooo ☺️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ole wakooooo ☺️
Anatafuta swahiba...Ole wakooooo ☺️
Ulishawahi sema sehemu. Kama nimekosea asee samahani.Uliwahi kuniona ukahakikisha siwezi kukupa mimba?
Jitahidi usiwe unatoa hitimisho kwa kuangalia avatar.Ulishawahi sema sehemu. Kama nimekosea asee samahani.
Umesema sahihi lakini kumbukumbu zangu ziliniambia wewe ni Ke kwakuwa kuna mahali niliona hivyo. Kama nimekosea sorry.Jitahidi usiwe unatoa hitimisho kwa kuangalia avatar.
Huwa hamuelewi mpaka mnyweshwe dawa.Oyi why are taking it so hard? Huwezi kufanya yaishe mpaka maneno yanakuwa mengi hivi? Do something fruitful instead of unproductive argument hii unayofanya hapa.
Bye.
Niko tayari, tuma namba yakoMi ni mwanamke mrembo mwenye Utu sana,Msikivu,Mwenye Upendo,Mwanamke ambae nathamini sana Familia, mwanamke ninaependa Maendeleo, Mama wa mtoto mmoja
Miaka 34
Mfanyabiashara
Mkristo
Nina jitegemea kwa kila kitu naishi Dar na mwanangu na dada wa kazi.
Nipo Tayari Sasa kwa kuanzisha Urafiki na baadae kua wapenzi had Ndoa Na mtu Sahihi kwangu na mimi niwe Sahihi kwake.
Umri kuanzia 35-48 Akiwa na mtoto Au watoto haina shida kabisa nitalea/kuwalea kwa upendo mkubwa sana
Asiwe Mlevi
Awe na hofu ya Mungu,mwenye Kazi ya kumwingizia kipato,mwaminifu na mwenye Mahaba kama yote.
Ni PM kama tu Upo serious please