nyarunyange
Member
- Mar 8, 2017
- 7
- 10
Babu yupo Leo kashinda akiwa na furaha kinoma, maana kapata Uzi alokuwa akiusubili kwa cku nying ama kwel beberu limefia kwa muuza supu
Mimi ni mwanamke umri miaka 40.. Nina watoto..nahitaji kampani ya mwanaume alie single... Ambae aliachwa na mke au alifiwa, au aliacha mwanamke kwa sababu isiyoweza kuvumilika..awe anajiheshimu..awe mtulivu na kwenye maendeleo na asiwe tegemezi
Babu yupo Leo kashinda akiwa na furaha kinoma, maana kapata Uzi alokuwa akiusubili kwa cku nying ama kweli beberu limefia kwa muuza supu
aaah wapi hata siyo mbabu...ila watamu haoo hatariibadili title isomeke 'natafuta rafiki mbabu'
N'gombe hazeeki maini[emoji115]aaah wapi hata siyo mbabu...ila watamu haoo hatarii
ππππππbadili title isomeke 'natafuta rafiki mbabu'
Du! Afadhari nlikua natafuta mtu km wewee, asante mungu hakika amejibu maombi anguMimi ni mwanamke umri miaka 40.. Nina watoto..nahitaji kampani ya mwanaume alie single... Ambae aliachwa na mke au alifiwa, au aliacha mwanamke kwa sababu isiyoweza kuvumilika..awe anajiheshimu..awe mtulivu na kwenye maendeleo na asiwe tegemezi
Ha ha ha ha ha...... Lakini Nadhani sio yule mstaafu wa mambo ya usiku.hahahhah mstaafu anatafutwa
hahahah huyu mstaafu wa mafao usiku atasaidiwa na vijana hakuna namna ingineHa ha ha ha ha...... Lakini Nadhani sio yule mstaafu wa mambo ya usiku.
Hhmm Shunie.... Wacha kuwatisha Hao wastaafu... Halafu wengine wako fiti huwezi amini.hahahah huyu mstaafu wa mafao usiku atasaidiwa na vijana hakuna namna ingine