Natafuta rafiki wa kiume umri 45-65

Natafuta rafiki wa kiume umri 45-65

nyarunyange

Member
Joined
Mar 8, 2017
Posts
7
Reaction score
10
Mimi ni mwanamke umri miaka 40.. Nina watoto..nahitaji kampani ya mwanaume alie single... Ambae aliachwa na mke au alifiwa, au aliacha mwanamke kwa sababu isiyoweza kuvumilika..awe anajiheshimu..awe mtulivu na kwenye maendeleo na asiwe tegemezi
 
Babu yupo Leo kashinda akiwa na furaha kinoma, maana kapata Uzi alokuwa akiusubili kwa cku nying ama kwel beberu limefia kwa muuza supu


Mimi ni mwanamke umri miaka 40.. Nina watoto..nahitaji kampani ya mwanaume alie single... Ambae aliachwa na mke au alifiwa, au aliacha mwanamke kwa sababu isiyoweza kuvumilika..awe anajiheshimu..awe mtulivu na kwenye maendeleo na asiwe tegemezi
 
Duuh sawa naona anatafutwa brother yangu mkubwa au pengine baba yangu kabisa
 
Mimi ni mwanamke umri miaka 40.. Nina watoto..nahitaji kampani ya mwanaume alie single... Ambae aliachwa na mke au alifiwa, au aliacha mwanamke kwa sababu isiyoweza kuvumilika..awe anajiheshimu..awe mtulivu na kwenye maendeleo na asiwe tegemezi
Du! Afadhari nlikua natafuta mtu km wewee, asante mungu hakika amejibu maombi angu
 
Mfano ukampata huyo mwanaume mwenye miaka 65,
Ila nyoka hatemi sumu utavummilia?
 
Back
Top Bottom