Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cjamaanisha Dr/nurse.awe amesomea afya-ifikirie Afya 🤣wanawake mnawang’ang’aniaga sana Madaktari wakati mburura tu hao jamaa, no offense
Ndio hata HWHata cc wa community health au ni CO,MD,lab na manurse
Akiwa na hivyo vyote hawezi ongea huo ujinga alioongea😄Tupe sifa zako kwanza.
Una kiuno nyigu?
Una msambwanda?
Guu la bia?
Ziwa konzi yaani Lile saa sita?
Macho ya goroli? na meupe
Sura ya mviringo?
Nywele za Masai?
Una shahada ngapi?
Una kazi?
Una gari [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]?
Una Nyumba?
Una mtoto?
Dini yako?
Jibu hayo Wana wajimwaye mwaye, isije ikawa mtu anaokotwa dodo chini ya mpapai
Inaboa mkuu. 😆Kuna siku nilienda training flan kuna huyo supervisor kidogo utaskia “kuweni systematic kama madaktari” mara kuweni funny kama oncologist flan... I was like wtf.leo na nakutana nayo tena
hapa ndipo mnapofeli,nilidhani "atakayekupenda"...Nina miaka 26,
Mweusi.
Mrefu kiasi.
Elimu ()
Nahitaji rafiki wa kiume(kaka)
umri 28-32.
Elimu yake -Awe amesomea Afya,
pia awe mweusi na mrefu,
awe mcheshi na mchaMungu,
awe hajaoa.
Mwenye sifa Ani PM
Nakuombea upate hitaji la moyo wakoNina miaka 26,
Mweusi.
Mrefu kiasi.
Elimu ()
Nahitaji rafiki wa kiume(kaka)
umri 28-32.
Elimu yake -Awe amesomea Afya,
pia awe mweusi na mrefu,
awe mcheshi na mchaMungu,
awe hajaoa.
Mwenye sifa Ani PM
Wacha yawakute 😂Wee umewaambukiza warembo wa jjf wote wanataka tal dark and handsome sasa
Kaka wako wa hiyari nipo na nimesomea "afya ya mapenzi"Nina miaka 26,
Mweusi.
Mrefu kiasi.
Elimu ()
Nahitaji rafiki wa kiume(kaka)
umri 28-32.
Elimu yake -Awe amesomea Afya,
pia awe mweusi na mrefu,
awe mcheshi na mchaMungu,
awe hajaoa.
Mwenye sifa Ani PM
Sasa kwanini utafute kaka ambaye hajaoa kwani una mpango gani was Siri?Nina miaka 26,
Mweusi.
Mrefu kiasi.
Elimu ()
Nahitaji rafiki wa kiume(kaka)
umri 28-32.
Elimu yake -Awe amesomea Afya,
pia awe mweusi na mrefu,
awe mcheshi na mchaMungu,
awe hajaoa.
Mwenye sifa Ani PM
Cjamaanisha Dr/nurse.awe amesomea afya-ifikirie Afya 🤣
Hapo kwenye kusoma afya ni kipengele😁Nina miaka 26,
Mweusi.
Mrefu kiasi.
Elimu ()
Nahitaji rafiki wa kiume(kaka)
umri 28-32.
Elimu yake -Awe amesomea Afya,
pia awe mweusi na mrefu,
awe mcheshi na mchaMungu,
awe hajaoa.
Mwenye sifa Ani PM
🤣🤣Hicho kigezo cha awe amesomea mambo ya afya kwan una seasonal fever?
Jaribu Liverpool VPN ila umwoe sasa