Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakae Kwa kutuliaImagine!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisa yaaniHapa zijakubuhu,ila huwa napenda kuwa na marafiki au mpenzi alie nizidi miaka mingi huwa nakuwa na amani
Wazee mmefikiwaSawa vijana tuachieni uwanja wazee wenu nasi tukumbukie ya kale.
Karibu PM binti ule mema ya nchi na ya mapenzi.
Sifa zangu ni mstaafu nakula pensheni kwa sasa,elimu na exposure ya kutosha sana.
Unatafuta RAFIKI au MWENZA/MUME/MPENZI mbona unazunguka sANA/ hit the pointMimi ni binti wa miaka 27,natafuta rafiki wa kiume.
SIFA NILIZO NAZO.👇
Mimi ni mweupe, mrefu, mwembamba kiasi, elimu ya kawaida, mfanya biashara.
SIFA ZA RAFIKI WA KIUME ANAYE HITAJIKA👇.
(1)Awe mrefu
(2)Rangi yoyote.
(3)Dini awe mkristo au mwislam.
(4)Elimu form four kuendelea.
(5)umri kuanzia miaka 38-55
(6)Awe anajitegemea.
Kama unavigezo ivyo njoo PM na Kama haupo serious usije.
Watoto kuanzia miaka 35,34,33,30,29...kushuka chini jaman siwahitaji, narudia Tena siwahitaji.
Life start T 40 😎 so kaeni pembeniAisee....
Hao wa miaka 45 wa siku hizi umewaona lakini?
Wenye hizi kauli mara nyingi ni wafanya biashara ujue!
mbona povu mkuu sifa gani huna hapo😅😅😅Sifa zote hizo wewe unazo au unataka tu mwenzio ndo awe nazo. Elimu yenyewe umesema una ya kawaida, umeshindwa kuweka wazi. Hapo unataka sifa kibao za mwanaume. Nyie ndio mna zeeka bila kuolewa kwa kujifanya kuwa selective. Sifa ulizoorodhesha utazipata kwa mpenzi sio mume wa maisha. Jiangalie umri wako sio haba.
Ahhh ndio huko huko tu unaelekea ..anyway...sasa mnakosaje hata marafiki??Nimeandika hapo juu nataka mume?,sinimesema rafiki?
Upo mkoa gani kwanza nianze kujipanga 😎Mbona nimetu lugha nyepesi ya kiswahili,na sijazunguka chochote hapo?.
Haha umemgusa mtima 😃Sifa zote hizo wewe unazo au unataka tu mwenzio ndo awe nazo. Elimu yenyewe umesema una ya kawaida, umeshindwa kuweka wazi. Hapo unataka sifa kibao za mwanaume. Nyie ndio mna zeeka bila kuolewa kwa kujifanya kuwa selective. Sifa ulizoorodhesha utazipata kwa mpenzi sio mume wa maisha. Jiangalie umri wako sio haba.