jokotinda_Jr
JF-Expert Member
- Apr 9, 2022
- 882
- 1,536
Kwanza mimi siyo dada ... pia kama hutojali badili hilo jina katika ulimwengu wa roho kuna uhalisia flani unaubeba ....usijiite mtoto wa maskini ...kataa hiyo roho mkuu ..... kuna mtu aliwahi sema maskini hawatoend mbinguni ...Sasa dada angu wewe ni mfanyabiashara...!
Sisi ni Tabaka la chini sana.
Emu tuoneshe za 35k na kale ka bure
Sent from my itel S32LTE using JamiiForums mobile app