Hongera sana mimi ni kijana ,mwenye future kubwa sana lakin sijaona kijana mwenye maono kama wew inshort umebalikiwa sana ,pia nina maoni kidogo japo unaruhusiwa kunikosoa
1: anza kwanza uzalishaji wa nguruwe then utajisajili badae ukisha fikisha target ya nguruwe uliyo panga,nafikir mwaka moja tuu.utakuwa umefikisha nguruwe si chini ya mia nane nikitoa hasara,
2: usiwaze kuhusu sokoo maana lipo la uhakika badala yake unaweza unaweza kuuza kwa bei ya jumla nguruwe mzima itaripaa sana ,
3 ungekuwa iringa ungefaidi zaid maana ,kutengeneza mabanda ungetumia mabanzi ,na kumimina tu chini maana huku mabanzi ni bure kabisa .
4 ukianza mradi wako tengeneza bustan za mbogaa itasaidia kuwalisha wanyama kam supriment ,vitamin na madim source,
5 jiepushe na kununua nguruwe piglet wa kizazi kimoja kuepushaa inbreeding huwa inasumbua kidogo,
Naamin utafanikiwa pia tupo nyuma yako kwa ajili ya mawazo na maoni mbalimbali pia soko tutakisaidiaa .
Sent from my X-TIGI_V11 using
JamiiForums mobile app