Natafuta shombe shome wa kuzaa naye

Natafuta shombe shome wa kuzaa naye

Anajitafutia laana bureee huyu!
Wewe ndo unaosema hivyo kwamba ni sawa kuchagua yoyote, lkn huyo shombe shombe unayemtafuta hatokuona hivyo kwani wewe kwake ni daraja la chini, na anatafuta shombe shome mwenzake na siyo wewe, sasa kwanini ukubali Binadamu mwingine akushushe hivyo?
Mungu hakukuumba ili uwe dhaifu, bali alikuumba ujithamini na kujipenda, na siyo kutaka kuwepo mahali ambapo hautakiwi, hiyo ni dhambi!
Ila binadamu bwana, so nyinyi mnateseka kweli kuona mkuu anataka kuzaa na shombe shombe. Nani Aliwaambia itakuwa ni laana ukizaa na shombe shombe.

SHAME ON YOU
 
Ila binadamu bwana, so nyinyi mnateseka kweli kuona mkuu anataka kuzaa na shombe shombe. Nani Aliwaambia itakuwa ni laana ukizaa na shombe shombe.

SHAME ON YOU
Hujanielewa ndugu! Laana ni vile yeye kuiona ngozi yake kama vile haina thamani vile! Hamna kitu chenye kuleta laana kama kudharau wazazi wako..sasa sijui hili lijamaa ni leusi kama lami au la! Eti linatafuta shombe shombe! Stupidm. Kwanini asiseme kuwa anatafuta mwanamke wa kuzaa naye m?
 
Ila binadamu bwana, so nyinyi mnateseka kweli kuona mkuu anataka kuzaa na shombe shombe. Nani Aliwaambia itakuwa ni laana ukizaa na shombe shombe.

SHAME ON YOU
Nimeshangaa boss imebid nitulie kwanza maana.. watu wana mambo ya ajabu sana.. kwan wao si watu... dhambi inatoka wapi apo...
>pia hapa najua siwez wapata ila nimeshare sababa ni kitu nawaza toka zaman... na nataman nikifanikishe.
 
Hujanielewa ndugu! Laana ni vile yeye kuiona ngozi yake kama vile haina thamani vile! Hamna kitu chenye kuleta laana kama kudharau wazazi wako..sasa sijui hili lijamaa ni leusi kama lami au la! Eti linatafuta shombe shombe! Stupidm. Kwanini asiseme kuwa anatafuta mwanamke wa kuzaa naye m?
wee jamaa una wivu sana afu uchumi pia unakusumbua
 
Hujanielewa ndugu! Laana ni vile yeye kuiona ngozi yake kama vile haina thamani vile! Hamna kitu chenye kuleta laana kama kudharau wazazi wako..sasa sijui hili lijamaa ni leusi kama lami au la! Eti linatafuta shombe shombe! Stupidm. Kwanini asiseme kuwa anatafuta mwanamke wa kuzaa naye m?
Duuuuh..!! So waafrika waliozaa na wazungu nao washapigwa laana kisa kazaa na ngozi nyeupe tofauti na wazazi wake walivyo..?
 
Nenda Zanzibar kule wamejazana waarab koko hawana mpango hata mwanamme wa kuoa utapata huko.
 
Duuuuh..!! So waafrika waliozaa na wazungu nao washapigwa laana kisa kazaa na ngozi nyeupe tofauti na wazazi wake walivyo..?
Mjomba bado hujaielewa hoja yangu. Mimi nisichomuelewa huyo anayejiita enginia wa vitu vyepesi ni kama kutothamini ngozi yake na kutaka awe kitu kingine. Kuzaa na mzungu, mwarabu, mhindi nk siyo tatizo ila usiikandie rangi yako, rangi ya wazazi wake waliomleta hapa duniani ndiyo nikatumia neno laana.
 
Mjomba bado hujaielewa hoja yangu. Mimi nisichomuelewa huyo anayejiita enginia wa vitu vyepesi ni kama kutothamini ngozi yake na kutaka awe kitu kingine. Kuzaa na mzungu, mwarabu, mhindi nk siyo tatizo ila usiikandie rangi yako, rangi ya wazazi wake waliomleta hapa duniani ndiyo nikatumia neno laana.
Anhaa.., okay sawa sawa.
 
Mjomba bado hujaielewa hoja yangu. Mimi nisichomuelewa huyo anayejiita enginia wa vitu vyepesi ni kama kutothamini ngozi yake na kutaka awe kitu kingine. Kuzaa na mzungu, mwarabu, mhindi nk siyo tatizo ila usiikandie rangi yako, rangi ya wazazi wake waliomleta hapa duniani ndiyo nikatumia neno laana.
Nimeikandia wap boss... [emoji54][emoji54] unaweza onyesha
 
Nimeikandia wap boss... [emoji54][emoji54] unaweza onyesha
Kauili yako ulivyoielezea inaashiria mwerekeo wa kutoithamini ngozi yako. Kuzaa na mwanamke wa rangi yoyote ni hiari yako ndugu. Kama nilkuelewa vibaya basi kumradhi. Ila tuthamini vya kwetu...cha mtu mavi.
 
Back
Top Bottom