joseph_mbeya
JF-Expert Member
- Nov 20, 2023
- 1,123
- 2,935
camera laki na nusu hahahahahaKwa bajet hyo nunua camera tu mzee
majibu ya jf sometimes yanakatisha tamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
camera laki na nusu hahahahahaKwa bajet hyo nunua camera tu mzee
Kulingana na bajeti Yake hiyo naona atakuwa na software nzuri pia .. Kama bajeti Yake ingekuwa 300+ options nzuri ni nyingiSpart 8 camera yake ni ya kawaida sana haiwezi kukidhi haja yake
Hakuna simu nzuri kwa hiyo bei mkuu! Hapo unatafuta tecno au infinix 😂😂😂😂😂Habari jf members,
Naomba kuuliza simu gani nzuri zaidi kwa picha nataka ninunue matumizi ni kupiga picha za biashara, budget 150,000 mpaka 250,000. I prefer used phones.
Internal iwe kuanzia 64+.
Acha masihara[emoji1] mzee mbona wameniambia pixel 3 series nzuri kwa picha, mimi shida yangu iwe inapiga tu picha quality simu ya matumizi mengine ninayoHakuna simu nzuri kwa hiyo bei mkuu! Hapo unatafuta tecno au infinix [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nachosikitika ni kwamba bado unahangaika kusikiliza maoni ya watu badala ya kuMka uwahi kununua pixel nimekuambia tafuta google pixel 3xl hata 4 achana na watu wanakuambia samsung samsung ya maana ya kuichapa google pixel haiwezi kuuzwa laki mbili ishi kwenye pixel usibadilishe mawazo kama shida yako ni camera ila kama shida yako ni jina la simu uvimbe nenda huko samsung ya laki mbili na nusu ila usije kuja kuazisha uzi hapa simu inasumbuaAcha masihara[emoji1] mzee mbona wameniambia pixel 3 series nzuri kwa picha, mimi shida yangu iwe inapiga tu picha quality simu ya matumizi mengine ninayo
Mkuu noted tayar, hawa wengine wanachangamsha jamvi tu.Nachosikitika ni kwamba bado unahangaika kusikiliza maoni ya watu badala ya kuMka uwahi kununua pixel nimekuambia tafuta google pixel 3xl hata 4 achana na watu wanakuambia samsung samsung ya maana ya kuichapa google pixel haiwezi kuuzwa laki mbili ishi kwenye pixel usibadilishe mawazo kama shida yako ni camera ila kama shida yako ni jina la simu uvimbe nenda huko samsung ya laki mbili na nusu ila usije kuja kuazisha uzi hapa simu inasumbua
Hii, hapo niko kwenye motionJiongeze kidogo nikupe A 25
Ram : 6/4/2
128
Ram 6
5G
🔥🔥🔥
0628731833
SAwa sawa mkuuu , ntaenda kuchek kati ya pixel 3xl na 4.
Sharp Aquos R6, FB naziona hadi 150K na kuna mdau humu alisema kanunua 250K ExtrovertHabari JF members,
Naomba kuuliza simu gani nzuri zaidi kwa picha nataka ninunue matumizi ni kupiga picha za biashara, budget 150,000 mpaka 250,000. I prefer used phones.
Internal iwe kuanzia 64+.
Zipo digital camera za Sony unaweza kupata kwa bei hiyo...camera laki na nusu hahahahaha
majibu ya jf sometimes yanakatisha tamaa