Sharp Aquos R6, FB naziona hadi 150K na kuna mdau humu alisema kanunua 250K Extrovert
Camera sensor yake ni inch 1, sensor kubwa zaidi kuwekwa kwenye simu. Pengine kwa hii budget huwezi pata camera phone nzuri zaidi ya hii.
Pengine ukahitaji cooler mkuu, kwa sababu uzoefu wangu simu za sd 888 zinapata joto, kama una piga picha tu haina neno, ila kama unachukua na video inaweza kupata joto.
Amina[emoji120]Mungu anyooshe safari yako, Amina
Hii ni flagship ya 2021 ku upgrade toka hapa maybe budget ya laki 5 hivi kupanda ndio utapata camera nzuri zaidi ya hio.Shukrani mkuu, matumizi ni yote yote picha na video, ila budget inaweza kuongezeka japo before nilifikiria hyo limit,
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Ofcourse in heat na ndio sababu haikai na umeme on heavy usage sema uzuri wa simu za kijapan specs wise zinakuwa ahead of time. Nikiangalia specs za hii zero6 na iPhone iliotangazwa juzi ile i've really got a bang for the buck. Sahizi ndio Iphone wanaanza kuuziwa device za 8GB Ram wakati za android zilikuwepo tayari miaka 3 nyumaSharp Aquos R6, FB naziona hadi 150K na kuna mdau humu alisema kanunua 250K Extrovert
Camera sensor yake ni inch 1, sensor kubwa zaidi kuwekwa kwenye simu. Pengine kwa hii budget huwezi pata camera phone nzuri zaidi ya hii.
Pengine ukahitaji cooler mkuu, kwa sababu uzoefu wangu simu za sd 888 zinapata joto, kama una piga picha tu haina neno, ila kama unachukua na video inaweza kupata joto.