Natafuta soko la Mashati ya shule (Tomato)

Natafuta soko la Mashati ya shule (Tomato)

Joined
Nov 14, 2013
Posts
67
Reaction score
42
Wakuu natafuta soko la mashati meupe ya shule, ya mikono mirefu na mifupi. Nauza kwa bei ya kiwandani , kuanzia dozen 50. Nipo Dar. Kuna Size Small Medium Large, 38, 40,42 na 2, 3, 4 . Toa oda tufanye biashara
 
Ungeweka mawasiliano ili iwe rahisi kukupata. Maana PM naona hujibu
 
Back
Top Bottom