Natafuta soko la Vanila Tanzania

Natafuta soko la Vanila Tanzania

somji

Senior Member
Joined
Jan 11, 2015
Posts
114
Reaction score
67

 

Attachments

  • IMG-20211108-WA0000.jpg
    IMG-20211108-WA0000.jpg
    126.4 KB · Views: 237
Mkuu nafuatilia hapa,,, nitakupa connrction siku sio nyingi..
 
Jaman s tuliambiwa hili zao n Lulu huko visiwa vya Madagascar linalindwa na rpg Kwan kg 1 n milion moja

Sasa inakuwaje Leo soko liwe shida

Anyway yule bwana wa kwnye matv anaye tangaza kuwa anannunu hilo zao Yuko wap?

Isije ikawa n changa la macho TU
 
Watafute wale wanunuzi wa million moja kg.
Vanilla sijui nini nini.
 
Weka bei tuongee kama unaweza kunipandishia ndege
Nitaanza na kilo 5
 
Tupeni Nafasi Tupumue Kidogo
Njombe Walimu Tele Wastaafu Wamepigwa Hadi Millions 29
Maneno Matatu Sitayasema Mimi Kwenye Utawala Wangu

Vanilla Watu Wanalia, Sasa Hivi Hiyo Ni Magendo
 
Back
Top Bottom