Natafuta soko la Vanila Tanzania

Tajiri mpya mjini
 
Mkuu nafuatilia hapa,,, nitakupa connrction siku sio nyingi..
 
Jaman s tuliambiwa hili zao n Lulu huko visiwa vya Madagascar linalindwa na rpg Kwan kg 1 n milion moja

Sasa inakuwaje Leo soko liwe shida

Anyway yule bwana wa kwnye matv anaye tangaza kuwa anannunu hilo zao Yuko wap?

Isije ikawa n changa la macho TU
 
Watafute wale wanunuzi wa million moja kg.
Vanilla sijui nini nini.
 
Weka bei tuongee kama unaweza kunipandishia ndege
Nitaanza na kilo 5
 
Tupeni Nafasi Tupumue Kidogo
Njombe Walimu Tele Wastaafu Wamepigwa Hadi Millions 29
Maneno Matatu Sitayasema Mimi Kwenye Utawala Wangu

Vanilla Watu Wanalia, Sasa Hivi Hiyo Ni Magendo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…