MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,074
Mwanamke mwenye mume mlevi njooni hapa tufutane machozi [emoji23] [emoji23][emoji12] [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
huyo huyo ben ten
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanamke mwenye mume mlevi njooni hapa tufutane machozi [emoji23] [emoji23][emoji12] [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Ulishafutwa chozi?......Naomba nikufute chozi rafiki!huyo huyo ben ten
Ulishafutwa chozi?......Naomba nikufute chozi rafiki!
Teh teh... husahau tu? Ameshakuwa zilipendwa!Msalimie mtabibu
Jomoniiiiiiiben ten
Wacha weeh kwaiyo saivi una ingizo jipya sio eeh, wakina Mbiti wanaita sijui kiben twenty.[emoji12]Teh teh... husahau tu? Ameshakuwa zilipendwa!
Ben ten anipitie mbali. Ninaye mtafuta sijampata bado.Wacha weeh kwaiyo saivi una ingizo jipya sio eeh, wakina Mbiti wanaita sijui kiben twenty.[emoji12]
Ahaah, ila dunia imebadilika ujue, zamani jinsia me ndo ilikua inatafuta saivi naona zote ni tafutaji[emoji40] [emoji125]Ben ten anipitie mbali. Ninaye mtafuta sijampata bado.
Unaweza tafutwa na usie mtaka.! Bora kutafuta mwenyewe!Ahaah, ila dunia imebadilika ujue, zamani jinsia me ndo ilikua inatafuta saivi naona zote ni tafutaji[emoji40] [emoji125]
Na unaweza tafuta asiyekutaka, sasa hapo sijui itakuwaje[emoji3]Unaweza tafutwa na usie mtaka.! Bora kutafuta mwenyewe!
Kazi kweli kweli. Huyo naachana nae simlazimishi. Kutakana ndo mpango!Na unaweza tafuta asiyekutaka, sasa hapo sijui itakuwaje[emoji3]
Hahaha tatizo siku izi mnaona kila majukumu mnayaweza, mwishowe mnaishia kulalamika[emoji40]Kazi kweli kweli. Huyo naachana nae simlazimishi. Kutakana ndo mpango!
Hahaha tatizo siku izi mnaona kila majukumu mnayaweza, mwishowe mnaishia kulalamika[emoji40]
Mahusiano mengi yaliyotafutwa na jinsia ke, mwisho wake huwapa maumivi yaliyotukuka[emoji40]
Anyway mkipatana unishtue vinywaji vyote juu yangu[emoji12]
Sio ben ten yule! Mpe hi...teh !mandevu wangu lol
Teh...labda upo sahihi. Mi sitafuti wa kufatanafatana nae. Nishapita hiyo age! Mi starehe tu!
Sio ben ten yule! Mpe hi...
You may be looking for a thing that never exists, human being is mortal, how comes you are looking for person that lives forever?Inaweza ikawa kwa fikra za kawaida ukajiuliza nikaapo hawapo mpaka nitafute hapa?, lakini when you search someone to be your wife your never know utakutana nae kwenye mazingira yapi!, natafuta ambaye even her eyes closed but her heart still open. Vigezo no kuanzia maji ya kunde in nature, asitumie mkorogo, umri kuanzia miaka 22 mpaka 33, elimu kuanzia form four na kuendelea, dini muislamu, awe na real love, a kind of love no matter what happen but we can be forever. Only a serious girl are welcome.
Thanks for understand kkwa taarifa zaidi au ufafanuzi wa ziada p.m