Natafuta sumu au mtego wa paka pori

Natafuta sumu au mtego wa paka pori

Paka ni wazuri wakipata mtu anayewapenda wanakua mashetani wakikosa chakula na kuzaagaa mtaani
Nilipoanza vita nao ni baada ya kula ndege zangu kuku na njiwa!
Nilikua nikiua na sumu naacha mzoga hapo wakija usiku wanaogopa
Rafiki mzuri ni mbwa hawezi kukusaliti kamwe!
Mpe chakula ashibe mtaishi kwa upendo
 
Paka ni wazuri wakipata mtu anayewapenda wanakua mashetani wakikosa chakula na kuzaagaa mtaani
Nilipoanza vita nao ni baada ya kula ndege zangu kuku na njiwa!
Nilikua nikiua na sumu naacha mzoga hapo wakija usiku wanaogopa
Rafiki mzuri ni mbwa hawezi kukusaliti kamwe!
Mpe chakula ashibe mtaishi kwa upendo
Kwa paka jike sawa lakini kwa paka dume ni tatizo, hafugiki!
 
Blackfooted2.jpg

Mbona mzuri hivi 😂
 
Siku nimemkuta ndani ya Banda la kuku kamkalisha jogoo na vifaranga nikapandisha sumu
Nilimuua ila zile kucha nilizochezea asee mpaka Leo Nina alama mikononi


Nilimuua kigaidi sana nilimfunika kwenye ndoo ya pumba halafu nikaweka tofali mbili juu nikamuacha hapo wiki mbili baada ya kusikia harufu ya mzoga

Paka ana harufu mbaya sana
 
Siku nimemkuta ndani ya Banda la kuku kamkalisha jogoo na vifaranga nikapandisha sumu
Nilimuua ila zile kucha nilizochezea asee mpaka Leo Nina alama mikononi


Nilimuua kigaidi sana nilimfunika kwenye ndoo ya pumba halafu nikaweka tofali mbili juu nikamuacha hapo wiki mbili baada ya kusikia harufu ya mzoga

Paka ana harufu mbaya sana
 
Kuna sumu inaitwa temic kwenye soko la kisutu ipo

Kaa mbali sana na hyo sumu mana hatembei mbali n kali sana.
 
Mkuuu usiue hao Wanyama pori ni hazina kwa Taifa, ukiona wanasumbua wajulishe TAWA watakupa msaada. Pole
We jomba hayajawahi kukukuta mzee baba hata Kuna baadhi watu wanasema paka ni watu unaweza amini

Just imagine anaingia kwenye Banda la kuku badala aue hata kuku Moja ale kistaarabu ananyonga wote na Ali hata mmoja
Anakuvizia wakati umelala unakuja asubuhi kazi yako ni kuzoa mizoga
Unakuta hao kuku ndio unakusanya mayai uuze watoto wale

Hao Tawa watakusaidia Nini mkuu?
 
We jomba hayajawahi kukukuta mzee baba hata Kuna baadhi watu wanasema paka ni watu unaweza amini

Just imagine anaingia kwenye Banda la kuku badala aue hata kuku Moja ale kistaarabu ananyonga wote na Ali hata mmoja
Anakuvizia wakati umelala unakuja asubuhi kazi yako ni kuzoa mizoga
Unakuta hao kuku ndio unakusanya mayai uuze watoto wale

Hao Tawa watakusaidia Nini mkuu?
Wanamkamata na kukulipa fidia pia
 
We jomba hayajawahi kukukuta mzee baba hata Kuna baadhi watu wanasema paka ni watu unaweza amini

Just imagine anaingia kwenye Banda la kuku badala aue hata kuku Moja ale kistaarabu ananyonga wote na Ali hata mmoja
Anakuvizia wakati umelala unakuja asubuhi kazi yako ni kuzoa mizoga
Unakuta hao kuku ndio unakusanya mayai uuze watoto wale

Hao Tawa watakusaidia Nini mkuu?
Kwangu ameua kuku 35 alfajiri na bahati nzuri nilimuwahi angeua wote 80!
 
Kuna paka ananitia hasara ya kula kuku na bata, kila nikimvizia kwa lengo la kumuua nashindwa.

Je nitumie sumu au mtego gani ili afe?
Nunua manati mkuu hutojuta ngeee jiwe moja tu chali. Kuna manati ya mchina hiyo haikosei shabaha
 
Back
Top Bottom