Natafuta sumu au mtego wa paka pori

Natafuta sumu au mtego wa paka pori

story fupi...nyumbani mzee alikuwa amebuni mtego wa kushikia wanyama pori wanaitwa kipopori miaka ya nyuma ulikuwa unazimwa kijiji kizima mpaka wakaisha ama kupungua kabisa....nikaanza ufugaji mkoa nje ya center aisee yule kicheche alikuwa anaruka ukuta na paka walikuwa wananitesa kinoma nikaukumbuka ule mtego....niliwamaliza nimeskech unavyotakiwa kuwa ukishindwa..utanicheki nikiwa home asubuhi nikupigie picha....utanishukuru baadae lazima umkamate na picha uje uweke hapa.... kicheche nilimwekea mshikaki akanasa paka alinaswa kwa samaki...
 

Attachments

  • img953.jpg
    img953.jpg
    91 KB · Views: 9
story fupi...nyumbani mzee alikuwa amebuni mtego wa kushikia wanyama pori wanaitwa kipopori miaka ya nyuma ulikuwa unazimwa kijiji kizima mpaka wakaisha ama kupungua kabisa....nikaanza ufugaji mkoa nje ya center aisee yule kicheche alikuwa anaruka ukuta na paka walikuwa wananitesa kinoma nikaukumbuka ule mtego....niliwamaliza nimeskech unavyotakiwa kuwa ukishindwa..utanicheki nikiwa home asubuhi nikupigie picha....utanishukuru baadae lazima umkamate na picha uje uweke hapa....0755641168 kicheche nilimwekea mshikaki akanasa paka alinaswa kwa samaki...
Shukrani sana, nitafanya hivyo kesho!
 
Kwangu ameua kuku 35 alfajiri na bahati nzuri nilimuwahi angeua wote 80!
Hiyo ni hasara kubwa aisee, mimi aliwahi kula karibu kuku 7 kwa nyakati tofauti. Alikuwa anavizia usiku. Nikajaribu kila namna nimuue ikashindikana, alikuwa na hisia kali kweli siku unampangia mikakati siku hiyo aonekani. Anakushtukiza tu siku umejisahau anakupa hasara, nikatega sumu ikashindikana, nikaweka kitanzi sikumpata.

Arobaini yake ikafika, aliingia kuna chumba natunzia dagaa ya kuku, nikamuona nikafunga mlango. Nikamuotea koleo ya kichwa. Ile anafurukuta nikambana na hilo koleo. Nikampiga nyingi za kichwa na mgongo, nilimvunja miguu ya nyuma nikamuweka kwenye mfuko akatupwa huko mbali lakini alikuwa bado mzima.

Angalizo: Paka ana roho ngumu sana na ni hatari, hivyo ukipatana naye kwenye chumba hakikisha kina nafasi ya kutosha afu una silaha ndefu ndo upambane naye kwa mbali huku ukimvizia akiwa amejificha, tofauti na hapo utajutia uamuzi wa kujifungia naye ndani.
 
story fupi...nyumbani mzee alikuwa amebuni mtego wa kushikia wanyama pori wanaitwa kipopori miaka ya nyuma ulikuwa unazimwa kijiji kizima mpaka wakaisha ama kupungua kabisa....nikaanza ufugaji mkoa nje ya center aisee yule kicheche alikuwa anaruka ukuta na paka walikuwa wananitesa kinoma nikaukumbuka ule mtego....niliwamaliza nimeskech unavyotakiwa kuwa ukishindwa..utanicheki nikiwa home asubuhi nikupigie picha....utanishukuru baadae lazima umkamate na picha uje uweke hapa.... kicheche nilimwekea mshikaki akanasa paka alinaswa kwa samaki...
Tafadhali naomba picha ya mtego.
 
Saga Chupa changanya na nyama au samaki waliopondwa pondwa au dagaa hiyo paka akija akila anakufa,sumu paka ni nadra kufa Kwa sumu na pia anacheua akila sumu.Fuata njoo ushauri asipokufa hiyo paka njoo uchukue laki Moja ya usumbufu kwangu
 
nanikakuambia paka anakufa kwasumu?usifananishe paka nambwa au panya
Watu kama wewe Huwa naishia kuwashusha chini kabisa ukute nawewe unafamilia na unategemea kabisa? Haya tuambie wewe aliyekuambia paka hafi Kwa Sumu ni nani?

Hapa ninapofanyia kazi paka wametehwa Sumu wamekufa kama hawana wazazi Bahati nzuri mi Huwa nafanya kazi eneo walilotegwa ilibidi nihakikishe kabisa.. walikuwa wakila chakula walichowekewa hiyo Sumu kabla hata hajakimaliza ananza kuruka ruka juu akitua mazima hatingishi hata mkia!

Mkuu usichokijua nyamaza kabisa kama haupo sio kuleta maneno ya kwenye kahawa utaonekana boya Fulani tu.
 
Watu kama wewe Huwa naishia kuwashusha chini kabisa ukute nawewe unafamilia na unategemea kabisa? Haya tuambie wewe aliyekuambia paka hafi Kwa Sumu ni nani?

Hapa ninapofanyia kazi paka wametehwa Sumu wamekufa kama hawana wazazi Bahati nzuri mi Huwa nafanya kazi eneo walilotegwa ilibidi nihakikishe kabisa.. walikuwa wakila chakula walichowekewa hiyo Sumu kabla hata hajakimaliza ananza kuruka ruka juu akitua mazima hatingishi hata mkia!

Mkuu usichokijua nyamaza kabisa kama haupo sio kuleta maneno ya kwenye kahawa utaonekana boya Fulani tu.
Naomba jina la sumu kama unaifahamu.
 
Back
Top Bottom