Tai MARTIN
New Member
- Mar 16, 2014
- 2
- 0
Habari za leo jamani mimi ninakuja na suala lingine tofauti, nimekosa wapi ninaweza kupata msaada, nilikuwa natafuta kazi/ajira imekuwa ngumu kwajili ya kipindi hichi cha corona na hali ngumu ya kimapato.
Kwa bahati nzuri nimepata gari ya aina Nissan Serena ipo kama Toyota Alphad natafuta nayo tenda ya kubeba hata staff kuwapeleka makazini na kuwaruisha majumbani gari ina uwezo wa kubeba hadi watu 12, tafadhalini kama mna namna mnawezakunisaidia kuniunganisha na kazi nitashukuru,,pia gari ipokatika condition nzuri sana na bado ni jipya.
email godlistenmartin@gmail.com or phone no.+255 679 170 938.
Kwa bahati nzuri nimepata gari ya aina Nissan Serena ipo kama Toyota Alphad natafuta nayo tenda ya kubeba hata staff kuwapeleka makazini na kuwaruisha majumbani gari ina uwezo wa kubeba hadi watu 12, tafadhalini kama mna namna mnawezakunisaidia kuniunganisha na kazi nitashukuru,,pia gari ipokatika condition nzuri sana na bado ni jipya.
email godlistenmartin@gmail.com or phone no.+255 679 170 938.