homomorphism
Member
- Feb 12, 2017
- 66
- 63
- Thread starter
- #21
Passo Mil7! Si bora nitafute IST brotherOngeza bageti ikifika 7 tutakushaur
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Passo Mil7! Si bora nitafute IST brotherOngeza bageti ikifika 7 tutakushaur
Ist mil 11 tunakushaur sio madalali mkuu sisiPasso Mil7! Si bora nitafute IST brother
Pamoja na hayo ila Passo haifik mil7 kwa mtu, iyo ni bei ya passo 2 kaka. Shida madalali wanataka watatu matatizo yao yote kwa ela ya mteja mmoja.Ist mil 11 tunakushaur sio madalali mkuu sisi
Mil 10 ni ukiagiza toka Japan 7 ni hapa nzuri.mpyq ist toka Japan 14 ila mtaan 10 au 11.magari sio simu mkuuPamoja na hayo ila Passo haifik mil7 kwa mtu, iyo ni bei ya passo 2 kaka. Shida madalali wanataka watatu matatizo yao yote kwa ela ya mteja mmoja.
Aisee ela nayo aikai ila poa.Vumilia bado miezi miwili tu...January utapata gari nzuri tu
Speaking from experience.... hiyo Brevis unayoina niliichukua kwa 3.2 Million tu ni namba DJ.Anakudanganya huyo
Anapata D kabisa.Ungekuwa Dar kwa hiyo bei una pata Ila namba c
Usisubiri jibu mkuu endelea kutafuta zako passo huyo anataka kukutumbukiza kwenye kilio cha mafuta2490 CC ni kama gar gan boss wangu, kam una connection nambie.
Mtu akishindwa kuihudumia Brevis basi huyo ni bora kukomaa na pikipiki tu.Hizi gari ziko poa sana speed+power+appearance & stability ajabu watu wanazikimbia eti zinakula mafuta sana swali kuna gari inayokula mkate?
Mnatishana mkuu.Livamieee ndo utaelewaa show[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mtu akishindwa kuihudumia Brevis basi huyo ni bora kukomaa na pikipiki tu.
Hmm kwa Mbinde sanaAnapata D kabisa.
Uhakika anapata mkuu, yeye atulize papara tu.... ila C ndio uhakika zaidi. Na hapo Dodoma alipo ndio zipo za kumwaga.Hmm kwa Mbinde sana
Kabisa mkuu.Umenena vema kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23]Usisubiri jibu mkuu endelea kutafuta zako passo huyo anataka kukutumbukiza kwenye kilio cha mafuta
Sio mpya sema used toka JapanMil 10 ni ukiagiza toka Japan 7 ni hapa nzuri.mpyq ist toka Japan 14 ila mtaan 10 au 11.magari sio simu mkuu
Sahihi kakaSio mpya sema used toka Japan
Mkuu hauvuliki hii brevisSpeaking from experience.... hiyo Brevis unayoina niliichukua kwa 3.2 Million tu ni namba DJ.View attachment 2784611
Nenda facebook zipo za kumwaga ila zinasnzia 4milWaungwana natafuta mtu anaeuza Passo bajet yangu Mil 3.