Omar zakir naik
Member
- Aug 5, 2017
- 15
- 11
NATAFUTA MFADHILI AU MUWEZESHAJI, MTU BINAFSI AU TAASISI
Habari zenu wakubwa kwa wadogo.
Naitwa Omar. Mimi ni mjasiriamali mdogo najishughulisha na perfume napatikana Mwanza. Malengo yangu ni kukuza biashara yangu na kuifanya biashara katika hadhi inayowapendeza wengi.
Nahitaji mtu binafsi, mfanya biashara, taasisi au mfadhili anaeweza kuniwezesha zaidi, kuniinua niifanye kulingana hitaji la soko ili kuleta thamani ya kazi na tija zaidi.
Natambua kuna wenye uwezo ila hawana idea na kuna wenye idea ila hawana pesa.
KWA AMBAYE ANAONA ANAGUSWA NA IDEA/WAZO LANGU
Kwa mawasiliano zaidi
Call/Whatsapp
0769971815
Habari zenu wakubwa kwa wadogo.
Naitwa Omar. Mimi ni mjasiriamali mdogo najishughulisha na perfume napatikana Mwanza. Malengo yangu ni kukuza biashara yangu na kuifanya biashara katika hadhi inayowapendeza wengi.
Nahitaji mtu binafsi, mfanya biashara, taasisi au mfadhili anaeweza kuniwezesha zaidi, kuniinua niifanye kulingana hitaji la soko ili kuleta thamani ya kazi na tija zaidi.
Natambua kuna wenye uwezo ila hawana idea na kuna wenye idea ila hawana pesa.
KWA AMBAYE ANAONA ANAGUSWA NA IDEA/WAZO LANGU
Kwa mawasiliano zaidi
Call/Whatsapp
0769971815