Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Habari,
Ninaomba mtu mwenye hivi vitabu aweke hapa kwenye uzi huu. Nitashukuru sana.
NB
Nilishapost sana kwenye zile threads za vitabu lakini watu hawaoni hivo sikufanikiwa kuvipata ndio kusudi la kufungua uzi huu.
Majina kwa kingereza
1. Thus the bell rings kaandika Honore ngbanda
2. Inside Mobutu court
Ninaomba mtu mwenye hivi vitabu aweke hapa kwenye uzi huu. Nitashukuru sana.
NB
Nilishapost sana kwenye zile threads za vitabu lakini watu hawaoni hivo sikufanikiwa kuvipata ndio kusudi la kufungua uzi huu.
Majina kwa kingereza
1. Thus the bell rings kaandika Honore ngbanda
2. Inside Mobutu court