Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu angaliaaa joining date yake utapata majibuWeka picha, kisha njoo pm
Nipo namba sasaHabari zenu,. mimi naishi Dar es salaam ,kama nilivyoandika hapo juu natafuta mwanaume wa kunioa,nina miaka 21,elimu yangu ni certificate sijaajiriwa bado .atakaye kuwa interested tunaweza kuwasiliana zaidi pm..
Ningeenda Pm sema hata mimi nina mdogo wangu anaitwa Neema naona kama nitakuwa nampanda mdogo wanguNJOO PM una jina kama la mdogo anguu..
Ningeenda Pm sema hata mimi nina mdogo wangu anaitwa Neema naona kama nitakuwa nampanda mdogo wangu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahaha na Yeye anacomment kwa Id nyingine anawachora tuu
Kirahisi rahisi hivyo?Habari zenu,. mimi naishi Dar es salaam ,kama nilivyoandika hapo juu natafuta mwanaume wa kunioa,nina miaka 21,elimu yangu ni certificate sijaajiriwa bado .atakaye kuwa interested tunaweza kuwasiliana zaidi pm..
[emoji1] [emoji3] [emoji119]Habari zenu,. mimi naishi Dar es salaam ,kama nilivyoandika hapo juu natafuta mwanaume wa kunioa,nina miaka 21,elimu yangu ni certificate sijaajiriwa bado .atakaye kuwa interested tunaweza kuwasiliana zaidi pm..
Mkuu nimeionaMkuu angaliaaa joining date yake utapata majibu
Daah una mkosi dada angu nimesha OAHabari zenu,. mimi naishi Dar es salaam ,kama nilivyoandika hapo juu natafuta mwanaume wa kunioa,nina miaka 21,elimu yangu ni certificate sijaajiriwa bado .atakaye kuwa interested tunaweza kuwasiliana zaidi pm..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] muache aonje rungu naona INNA una wivu haswa [IMGhutaki mwezio afanikiwe][/IMG]Kasome atleast uwe na diploma ufike miaka 24 ndoa si yakukimbilia