Natafuta wa kunioa

Natafuta wa kunioa

Kaa mbali yupo kwenye mission
2e8b198d7daee8faafa0664e9dc7a341.jpg
259a4543bfa43f5d0bf64d064052dbbc.jpg
7a65e9339f1b8976192300a0fd97d82c.jpg



Nimeangalia profile yake nikagundua ni kadem nlikofanya nako matusi tayari.


Sio wife material kbs [emoji12] [emoji1]
 
[emoji15] kumbee
Wewe hata kusoma barua ndani ya bahasha ni kizungumkuti. Hivi ni mwanamke yupi anaweza andika kuwa anatafuta mwanaume wa kumuoa kavu kavu!!!! Ni dume hilo
 
Doh Kwa upande wangu sidhani kama ndoa inatafutwa kimtindo huo,

Wote watakao kucheki PM wana taka kuosha tu madungu yao ktk kisima chako kuwa makini kama kweli upo serious, ila kama unapenda usumbufu inbox wacha tukuje .
 
Habari zenu,. mimi naishi Dar es salaam ,kama nilivyoandika hapo juu natafuta mwanaume wa kunioa,nina miaka 21,elimu yangu ni certificate sijaajiriwa bado .atakaye kuwa interested tunaweza kuwasiliana zaidi pm..
Wewe bado mdogo. Soma kwanza acha hayo mambo ya kuolewa.
 
Habari zenu,. mimi naishi Dar es salaam ,kama nilivyoandika hapo juu natafuta mwanaume wa kunioa,nina miaka 21,elimu yangu ni certificate sijaajiriwa bado .atakaye kuwa interested tunaweza kuwasiliana zaidi pm..
Umri wako bado wa kuolewa mpk miaka 30
 
Habari zenu,. mimi naishi Dar es salaam ,kama nilivyoandika hapo juu natafuta mwanaume wa kunioa,nina miaka 21,elimu yangu ni certificate sijaajiriwa bado .atakaye kuwa interested tunaweza kuwasiliana zaidi pm..
Karibu, ila kuonjwa muhimu, usijeniuzia mbuzi kwenye gunia. Ni pm.
 
Back
Top Bottom