Nimeshaelewa 🙁System ipo kazini.
Au hujaelewa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshaelewa 🙁System ipo kazini.
Au hujaelewa?
Nipe namba yako nikuunganishe naye umpe ushauri vizuri, la sivyo mdogo wetu ataharibiwa tuTulia mdogo wangu, lengo lako ni zuri ila kuwa makini!!! Kwa umri wako bado hujachelewa, wanaume wa siku hizi hawapendi tegemezi. Hebu walau uwe na ka mradi ka kukuweka busy, huko uliko watakufuata wenyewe mdogo wangu!!! Kwa namna ulokuja nayo watakuchezea wengi utaishia kubaki na jeraha la moyo....
Mioga hiyo haiendi PMWaache waingie kichwa kichwa
Acha kuharibu kuna watu wanawindaMiaka 21 unataka kulala uchi na mtu?!
weka pichaHabari zenu,. mimi naishi Dar es salaam ,kama nilivyoandika hapo juu natafuta mwanaume wa kunioa,nina miaka 21,elimu yangu ni certificate sijaajiriwa bado .atakaye kuwa interested tunaweza kuwasiliana zaidi pm..
Usije ukanitumia ya jame delishazNikupe ama? Kaisha nipa
Habari zenu,. mimi naishi Dar es salaam ,kama nilivyoandika hapo juu natafuta mwanaume wa kunioa,nina miaka 21,elimu yangu ni certificate sijaajiriwa bado .atakaye kuwa interested tunaweza kuwasiliana zaidi pm..
Hahahahahaha shida kweli yaaniUmesahau kupimwa mkojo hahahaaaaa
Hivi ni vyuma tu ndo vimekaza!!!!Habari zenu,. mimi naishi Dar es salaam ,kama nilivyoandika hapo juu natafuta mwanaume wa kunioa,nina miaka 21,elimu yangu ni certificate sijaajiriwa bado .atakaye kuwa interested tunaweza kuwasiliana zaidi pm..
[emoji15] kumbeeHilo dume tu
Unamkataa saizMimi sio wangu huyu
Hahahahaaaa We jamaa ni nyokoNipe namba yako nikuunganishe naye umpe ushauri vizuri, la sivyo mdogo wetu ataharibiwa tu
Ngoja ukutane na dume mwenzioUsije ukanitumia ya jame delishaz
Hapana ya kwake kabisaUsije ukanitumia ya jame delishaz
Wapi nilisema nimemkubali saint???? Mtoto wa watu mdogo mnataka tu kumvurugaUnamkataa saiz
Siwez mfanyia hivyo bro wanguNgoja ukutane na dume mwenzio
Babe nangoja namba yako ujueHabari zenu,. mimi naishi Dar es salaam ,kama nilivyoandika hapo juu natafuta mwanaume wa kunioa,nina miaka 21,elimu yangu ni certificate sijaajiriwa bado .atakaye kuwa interested tunaweza kuwasiliana zaidi pm..