KACHINJA
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 1,263
- 869
Itakuwa aliiambiwa jf kuna nje njeUmejiunga juzi tu leo unatafuta wa kukuoa, by the way miaka 21 mbona mtaani unapata "midume" mingi tu au hauna chura...?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa aliiambiwa jf kuna nje njeUmejiunga juzi tu leo unatafuta wa kukuoa, by the way miaka 21 mbona mtaani unapata "midume" mingi tu au hauna chura...?
Sawaa mama ushauriiiKasome atleast uwe na diploma ufike miaka 24 ndoa si yakukimbilia
Dogo huyu ni shemeji yakoWeka picha, kisha njoo pm
Acha umbea
Dogo usalama hawatakuacha salamaWeka picha, kisha njoo pm
Hawa jamaa wambea kwelAcha umbea
Weka picha, kisha njoo pm
Futa thread. Nitafute pm. Mwezi ujao ndoa
Umejiunga juzi tu leo unatafuta wa kukuoa, by the way miaka 21 mbona mtaani unapata "midume" mingi tu au hauna chura...?
Eh!? Kwa iyo nimchukueAcha umbea
Ina nini bwana na weweMabazazi ya jf...mshamalizana na Madam s
Acha hizoEh!? Kwa iyo nimchukue
AnawataniaAre you serious au unatania?
Neema mtoto bikra,Habari zenu,. mimi naishi Dar es salaam ,kama nilivyoandika hapo juu natafuta mwanaume wa kunioa,nina miaka 21,elimu yangu ni certificate sijaajiriwa bado .atakaye kuwa interested tunaweza kuwasiliana zaidi pm..
Oya mtakuja kukamatwa acheni hizo mamboPicha ya mwenye profile ni ya kwako?