Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani wana JF,
Mimi ni mara yangu ya kwanza kuleta mchango humu ndani kutokanna na upya wangu katika majukwaa haya.
Ni mwanamke wa miaka 28. Ni mwezi wa sita sasa sina uhusiano kutokana na uhusiano niliodumu nao miaka mi nne kutoweka ni swala lililoniletea msongo sana wa mawazo sababu sikua na mtu mwingine.
Ndio kutoweka sababu niligundua nimpendae ana mtu mwingine kwa kipindi cha miaka 15 sasa. Kwahiyo wakati naingia walikua wamegombana wakaamua kurudiana mwaka jana mwezi wa nne.
Nilipogundua tu sikuweza kuvumilia tena sababu uyo dada amekua karibu sana na aliekua mpenzi wangu either aliekua mpenzi wangu alishindwa kubalance kwa kuonesha dharau tofauti na alivyokua.
Lengo la kuja humu ni kutafuta mtu alie serious na mahusiano alie single kama mimi, mkristo hata kama hajaokoka tuweze kuliwazana na Mungu akipenda tuwe familia moja hapo mbeleni.
Naomba kuwasilisha.
Aliye tayari anipm.
Hahaa kama ulikuwepo...nikikaa ndani naangalia kina Kim wangu mtu anaweza kudhani sipo
Mama njoo PM; usichezee hii bahati ni zaidi ya BIKO!! [emoji120]Jamani wana JF,
Mimi ni mara yangu ya kwanza kuleta mchango humu ndani kutokanna na upya wangu katika majukwaa haya.
Ni mwanamke wa miaka 28. Ni mwezi wa sita sasa sina uhusiano kutokana na uhusiano niliodumu nao miaka mi nne kutoweka ni swala lililoniletea msongo sana wa mawazo sababu sikua na mtu mwingine.
Ndio kutoweka sababu niligundua nimpendae ana mtu mwingine kwa kipindi cha miaka 15 sasa. Kwahiyo wakati naingia walikua wamegombana wakaamua kurudiana mwaka jana mwezi wa nne.
Nilipogundua tu sikuweza kuvumilia tena sababu uyo dada amekua karibu sana na aliekua mpenzi wangu either aliekua mpenzi wangu alishindwa kubalance kwa kuonesha dharau tofauti na alivyokua.
Lengo la kuja humu ni kutafuta mtu alie serious na mahusiano alie single kama mimi, mkristo hata kama hajaokoka tuweze kuliwazana na Mungu akipenda tuwe familia moja hapo mbeleni.
Naomba kuwasilisha.
Aliye tayari anipm.
Very very carefully.Pole Sana But be very careful...
Siku hizi nimeokoka.Hahaa na ulivyo hupitwi na sketi utakuja kuumbuka siku moja
Hehehe hii gia ya kumng'olea nani?Siku hizi nimeokoka.
wewe.Hehehe hii gia ya kumng'olea nani?
ucjali...utapata tena wa kukusahaulisha machungu yote hayo...watu wanapitia mengi usiwaone wakichekaJamani wana JF,
Mimi ni mara yangu ya kwanza kuleta mchango humu ndani kutokanna na upya wangu katika majukwaa haya.
Ni mwanamke wa miaka 28. Ni mwezi wa sita sasa sina uhusiano kutokana na uhusiano niliodumu nao miaka mi nne kutoweka ni swala lililoniletea msongo sana wa mawazo sababu sikua na mtu mwingine.
Ndio kutoweka sababu niligundua nimpendae ana mtu mwingine kwa kipindi cha miaka 15 sasa. Kwahiyo wakati naingia walikua wamegombana wakaamua kurudiana mwaka jana mwezi wa nne.
Nilipogundua tu sikuweza kuvumilia tena sababu uyo dada amekua karibu sana na aliekua mpenzi wangu either aliekua mpenzi wangu alishindwa kubalance kwa kuonesha dharau tofauti na alivyokua.
Lengo la kuja humu ni kutafuta mtu alie serious na mahusiano alie single kama mimi, mkristo hata kama hajaokoka tuweze kuliwazana na Mungu akipenda tuwe familia moja hapo mbeleni.
Naomba kuwasilisha.
Aliye tayari anipm.
wahimize wachangamkie fursa nduguFursa hiyo ila lazima ukiinda uende na jina lá kikiristo ndio utajibiwa
Just like that?Khaaa... kesho siku yenyewe ujue.
Baizawei... wish you lovely valentine day
only for this moment.Just like that?
Okey baby see you tomorrow [emoji126] [emoji126] [emoji126]only for this moment.