Natafuta wa kunipoza machungu niliyonayo

Natafuta wa kunipoza machungu niliyonayo

1. Miezi 6 huna mahusiano.

2. Huyo ulokuwa naye walirudiana na mwenzake mwezi wa nne
Mpaka leo ni miezi 10 .

3. Unataka wa kukupoza au wa kuanzisha naye mahusiano? Maana kichwa cha habari na paragraph ya mwisho vinapingana.

4. Uliwezaje kukaa kwenye mahusiano miaka 4 pasipo kugundua unadanganywa????


Ushauri wa KIMBINGU:-
Kama kweli usemayo Mwombe Mungu sana yeye atajua namna ya kukutafutia wa kufanana naye.


USHAURI WA KIDUNIA
Rudi na wewe kwa huyo ulokuwa naye kabla ya kumpata huyo alokuachia maumivu.

Yangu ni hayo, yake care omba sana

Jamani wana JF,

Mimi ni mara yangu ya kwanza kuleta mchango humu ndani kutokanna na upya wangu katika majukwaa haya.

Ni mwanamke wa miaka 28. Ni mwezi wa sita sasa sina uhusiano kutokana na uhusiano niliodumu nao miaka mi nne kutoweka ni swala lililoniletea msongo sana wa mawazo sababu sikua na mtu mwingine.

Ndio kutoweka sababu niligundua nimpendae ana mtu mwingine kwa kipindi cha miaka 15 sasa. Kwahiyo wakati naingia walikua wamegombana wakaamua kurudiana mwaka jana mwezi wa nne.

Nilipogundua tu sikuweza kuvumilia tena sababu uyo dada amekua karibu sana na aliekua mpenzi wangu either aliekua mpenzi wangu alishindwa kubalance kwa kuonesha dharau tofauti na alivyokua.

Lengo la kuja humu ni kutafuta mtu alie serious na mahusiano alie single kama mimi, mkristo hata kama hajaokoka tuweze kuliwazana na Mungu akipenda tuwe familia moja hapo mbeleni.

Naomba kuwasilisha.

Aliye tayari anipm.
 
Ha haa haaa Khantwe wangu mwandiko naufahamu, halafu tangu juzi yupo hapa chumbani kwake na simu kazima maana kuna series anatazama steering ni Kim Jong mwenyewe.
Ila mwenye hii ID atakuwa Wera wera.

CC: Preta Smile Filipo PakaJimmy Madame B & co: with references to wera wera
Hahaa kama ulikuwepo...nikikaa ndani naangalia kina Kim wangu mtu anaweza kudhani sipo
 
Jamani wana JF,

Mimi ni mara yangu ya kwanza kuleta mchango humu ndani kutokanna na upya wangu katika majukwaa haya.

Ni mwanamke wa miaka 28. Ni mwezi wa sita sasa sina uhusiano kutokana na uhusiano niliodumu nao miaka mi nne kutoweka ni swala lililoniletea msongo sana wa mawazo sababu sikua na mtu mwingine.

Ndio kutoweka sababu niligundua nimpendae ana mtu mwingine kwa kipindi cha miaka 15 sasa. Kwahiyo wakati naingia walikua wamegombana wakaamua kurudiana mwaka jana mwezi wa nne.

Nilipogundua tu sikuweza kuvumilia tena sababu uyo dada amekua karibu sana na aliekua mpenzi wangu either aliekua mpenzi wangu alishindwa kubalance kwa kuonesha dharau tofauti na alivyokua.

Lengo la kuja humu ni kutafuta mtu alie serious na mahusiano alie single kama mimi, mkristo hata kama hajaokoka tuweze kuliwazana na Mungu akipenda tuwe familia moja hapo mbeleni.

Naomba kuwasilisha.

Aliye tayari anipm.
Mama njoo PM; usichezee hii bahati ni zaidi ya BIKO!! [emoji120]
 
Jamani wana JF,

Mimi ni mara yangu ya kwanza kuleta mchango humu ndani kutokanna na upya wangu katika majukwaa haya.

Ni mwanamke wa miaka 28. Ni mwezi wa sita sasa sina uhusiano kutokana na uhusiano niliodumu nao miaka mi nne kutoweka ni swala lililoniletea msongo sana wa mawazo sababu sikua na mtu mwingine.

Ndio kutoweka sababu niligundua nimpendae ana mtu mwingine kwa kipindi cha miaka 15 sasa. Kwahiyo wakati naingia walikua wamegombana wakaamua kurudiana mwaka jana mwezi wa nne.

Nilipogundua tu sikuweza kuvumilia tena sababu uyo dada amekua karibu sana na aliekua mpenzi wangu either aliekua mpenzi wangu alishindwa kubalance kwa kuonesha dharau tofauti na alivyokua.

Lengo la kuja humu ni kutafuta mtu alie serious na mahusiano alie single kama mimi, mkristo hata kama hajaokoka tuweze kuliwazana na Mungu akipenda tuwe familia moja hapo mbeleni.

Naomba kuwasilisha.

Aliye tayari anipm.
ucjali...utapata tena wa kukusahaulisha machungu yote hayo...watu wanapitia mengi usiwaone wakicheka
Fursa hiyo ila lazima ukiinda uende na jina lá kikiristo ndio utajibiwa
wahimize wachangamkie fursa ndugu
 
Back
Top Bottom