Natafuta wa kunisaidia mkopo

https://www.jamiiforums.com/mahusia...ipo-sana-ukitaka-kutoa-mimba-hupati-pesa.html
 
Watumie watu shida yako kupitia PM
 
 
 
kama uko serious hebu ni pm tukubaliane riba na mengineyo
 
Watumie watu shida yako kupitia PM

hivi mtu akishasema ana shida mnataka ajieleze vipi!!! kwa wanaoweza kumsaidia na wafanye hivo sio mpaka kumchimba mtu kiasi hicho na mwisho muishie kumkejeli bila msaada wowote.
 
Reactions: BAK
Njoo moro nitakupatia.ila ufanye haraka kabla mama watoto hajarudi toka moshi.huwa ananikatazaga kusaidia watu.ila kwa ww nitakusaidia.ni pm nijue jinsi ya kukutumia nauli.
 
Njoo moro nitakupatia.ila ufanye haraka kabla mama watoto hajarudi toka moshi.huwa ananikatazaga kusaidia watu.ila kwa ww nitakusaidia.ni pm nijue jinsi ya kukutumia nauli.

Du aisee

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…