Natafuta wa kunisaidia mkopo

Natafuta wa kunisaidia mkopo

Jamani nina shida kubwa sana, ndugu wameniandama hali hiyo inanifanya nijiskie vibaya sana. Ni wapi naweza pata mkopo wa shilingi laki mbili au tatu nirejeshe kwa mwezi au kama kuna mtu wa kuweza kunisaidia humu ndani naomba anisaidie naomba.

Kwa ambaye anaweza kunisaidia naomba ani pm nimuelezee shida niliyo nayo.Sijawa open kuekezea shida kwa wote kwa ajili ya usalama wangu.

Naomba jamani mimi ni mwaminifu siwezi fanya ujinga.

Asante kwa kusoma.
https://www.jamiiforums.com/mahusia...ipo-sana-ukitaka-kutoa-mimba-hupati-pesa.html
 
Ndugu yangu natamani sana ningeweka wazi yaliyo nisibu ila naogopa ndugu zangu watajua ukweli wa mambo.Humu jf wengi wanapitia na ndugu zangu pia ila hatujuani id kwa hiyo naogopa wasije waka gundua.Mimi najitajihidi niweze kutatua hali niliyokua nayo.[/QUOT

weka picha tukuone tunaweza kulitatua tatizo lako
 
Ndugu yangu natamani sana ningeweka wazi yaliyo nisibu ila naogopa ndugu zangu watajua ukweli wa mambo.Humu jf wengi wanapitia na ndugu zangu pia ila hatujuani id kwa hiyo naogopa wasije waka gundua.Mimi najitajihidi niweze kutatua hali niliyokua nayo.[/QUOT

weka picha tukuone tunaweza kulitatua tatizo lako
hapo pagumu
 
kama uko serious hebu ni pm tukubaliane riba na mengineyo
 
Watumie watu shida yako kupitia PM

hivi mtu akishasema ana shida mnataka ajieleze vipi!!! kwa wanaoweza kumsaidia na wafanye hivo sio mpaka kumchimba mtu kiasi hicho na mwisho muishie kumkejeli bila msaada wowote.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Njoo moro nitakupatia.ila ufanye haraka kabla mama watoto hajarudi toka moshi.huwa ananikatazaga kusaidia watu.ila kwa ww nitakusaidia.ni pm nijue jinsi ya kukutumia nauli.
 
Njoo moro nitakupatia.ila ufanye haraka kabla mama watoto hajarudi toka moshi.huwa ananikatazaga kusaidia watu.ila kwa ww nitakusaidia.ni pm nijue jinsi ya kukutumia nauli.

Du aisee

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom