Natafuta watu wa kujitolea kwenye NGO

Natafuta watu wa kujitolea kwenye NGO

Mbona hii issue ya child right naona tayari msanii shetta anafanya huoni kama utakuwa unafanya marudio au ni katika kuongeza nguvu mkuu?
 
Habari Wananzonde jukwaani

Nimesajili shirika NGO mwaka 2020 ina usajili wa kufanya kazi mikoa yote Tanzania bara (Usajili wa kitaifa) lakini Hadi leo sijafanikiwa kupata fund Mahali popote .
Nimejifanyia tathmini nimegundua kwamba Sina watu wenye weledi kwenye hii NGO. Kwani 99% ya wanachama ni darasa la saba na hawaelewi Mambo ya NGO.

Maeneo ambayo nimefeli zaidi ni
1.Fund raising
2.Project guider
3.Mornitoring and evaluation
4.Project writing
5.IT and NGO branding

Ninaomba Kama Kuna mtu yeyote anaweza KUJITOLEA aje tufanye kazi.

Kwa kuwa hatuna fund kabisa sio lazima aje hapa nilipo ila Kuna kazi anaweza kuzifanya hukohuko aliko Kama issue ya branding, fund raising,project writing nk.

Pindi Hali ikitengamaa tunaweza ona namna ya kushirikiana kwa ukaribu zaidi

Shirika linajihusisha na child rights protection.
Kwa maelezo zaidi njoo watsap 0766432676.
All the best mkuu
 
Habari Wananzonde jukwaani

Nimesajili shirika NGO mwaka 2020 ina usajili wa kufanya kazi mikoa yote Tanzania bara (Usajili wa kitaifa) lakini Hadi leo sijafanikiwa kupata fund Mahali popote .
Nimejifanyia tathmini nimegundua kwamba Sina watu wenye weledi kwenye hii NGO. Kwani 99% ya wanachama ni darasa la saba na hawaelewi Mambo ya NGO.

Maeneo ambayo nimefeli zaidi ni
1.Fund raising
2.Project guider
3.Mornitoring and evaluation
4.Project writing
5.IT and NGO branding

Ninaomba Kama Kuna mtu yeyote anaweza KUJITOLEA aje tufanye kazi.

Kwa kuwa hatuna fund kabisa sio lazima aje hapa nilipo ila Kuna kazi anaweza kuzifanya hukohuko aliko Kama issue ya branding, fund raising,project writing nk.

Pindi Hali ikitengamaa tunaweza ona namna ya kushirikiana kwa ukaribu zaidi

Shirika linajihusisha na child rights protection.
Kwa maelezo zaidi njoo watsap 0766432676.
NGO zilikuwa zinalipa zamani hizo, kwa sasa tafuta tu kazi ya kufanya
 
Habari Wananzonde jukwaani

Nimesajili shirika NGO mwaka 2020 ina usajili wa kufanya kazi mikoa yote Tanzania bara (Usajili wa kitaifa) lakini Hadi leo sijafanikiwa kupata fund Mahali popote .
Nimejifanyia tathmini nimegundua kwamba Sina watu wenye weledi kwenye hii NGO. Kwani 99% ya wanachama ni darasa la saba na hawaelewi Mambo ya NGO.

Maeneo ambayo nimefeli zaidi ni
1.Fund raising
2.Project guider
3.Mornitoring and evaluation
4.Project writing
5.IT and NGO branding

Ninaomba Kama Kuna mtu yeyote anaweza KUJITOLEA aje tufanye kazi.

Kwa kuwa hatuna fund kabisa sio lazima aje hapa nilipo ila Kuna kazi anaweza kuzifanya hukohuko aliko Kama issue ya branding, fund raising,project writing nk.

Pindi Hali ikitengamaa tunaweza ona namna ya kushirikiana kwa ukaribu zaidi

Shirika linajihusisha na child rights protection.
Kwa maelezo zaidi njoo watsap 0766432676.
Tuwasiliane hili ni wazo zuri sanaa. Big up
 
Mkuu tunaweza kuitumia hio NGO kupata misaada kedekede kutoka kwa wadau na kujipatia fedha from charities and fund me platforms halafu tunakula maisha
 
Back
Top Bottom