Natafuta wauzaji wa nguo za mtumba Mikoani

Natafuta wauzaji wa nguo za mtumba Mikoani

Joined
Apr 12, 2020
Posts
13
Reaction score
19
Ndugu habari!

Natafuta mtu anayefanya biashara ya uuzaji wa nguo za kiume mtumba mikoani.

Nina bidhaa za nguo za đź‘– jeans suruali, t-shirt ,na pia trak juu na chini.. (GRADE A) bei nafuu tu nipo maeneo ya Tabata segerea
Mawasiliano 0744644627
0622531099
Hata pia kwa ulieko Dar Es salaam ni vizuri zaidi, jipatie bidhaa kwa bei poa ya jumla.

Nataka nibadilishe biashara, so mzigo upo store
 
Back
Top Bottom