usser JF-Expert Member Joined Sep 25, 2015 Posts 13,956 Reaction score 14,032 Jun 18, 2017 #41 Haa haa haa nan aliwaambia Mumfanye kuwa yy n lulu
demigod JF-Expert Member Joined Jan 2, 2015 Posts 8,292 Reaction score 15,250 Jun 19, 2017 Thread starter #42 Sibonike said: Kama si kuumia Juma Abdul angekuwa na magoli mengi kuliko Mavugo. Click to expand... Bila shaka last Season Juma Abdul angekuwa na mabao mengi kuliko Mavugo...
Sibonike said: Kama si kuumia Juma Abdul angekuwa na magoli mengi kuliko Mavugo. Click to expand... Bila shaka last Season Juma Abdul angekuwa na mabao mengi kuliko Mavugo...
E EdLach Member Joined Jun 19, 2017 Posts 5 Reaction score 3 Jun 20, 2017 #43 Okwi kasha ona simba ni pakumia mpunga
Pdidy JF-Expert Member Joined Nov 22, 2007 Posts 57,951 Reaction score 32,619 Jun 21, 2017 #44 nIYONZIMA RASMI SIMBA...KATA UKATAE
SaaMbovu JF-Expert Member Joined Oct 8, 2013 Posts 6,027 Reaction score 5,344 Jun 22, 2017 #45 demigod said: Kwani Msuva kazi yake kufunga? Mbona anamaliza season akiwa top score? Kuwa tu muwazi kwamba Jamaa anawakoshaga kwa kuwafunga Yanga tu na si kwa lingine.[emoji23][emoji23] sio kusema jamaa sio majukumu yake. Click to expand... Msuva kama sio jukumu lake kwanini alijipa mjukumu ambayo sio yake?
demigod said: Kwani Msuva kazi yake kufunga? Mbona anamaliza season akiwa top score? Kuwa tu muwazi kwamba Jamaa anawakoshaga kwa kuwafunga Yanga tu na si kwa lingine.[emoji23][emoji23] sio kusema jamaa sio majukumu yake. Click to expand... Msuva kama sio jukumu lake kwanini alijipa mjukumu ambayo sio yake?