Liverpool_Jr
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 1,220
- 1,415
Tembea ujionee.Natamani Sana kulima miparachichi,je nikiwa na milioni mbili kuanzia kununua shamba miche vibarua nk,je naweza kuwa na miche mingapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitembee wapi Sasa mkuu?nipe uzoefu wakoTembea ujionee.
Utajijibu kwa macho.
#YNWA
Wrote from Anfield..!!
Mwambie wenzake wanaolima Maembe hua wanayapeleka pale kiwandani kwa Bakhressa yanaishia kukaa nje ya geti tu mpk umjue dalali ndio mzigo wake ndani la sivyo mzigo wako utaozea hapo hapo kwny roli nje ya geti.Jifariji kama huna connection ya kufika kwa hao matajiri hadi ushikwe mkono au update dalali anayewafahamu
Si tunauza yetu kwenye company tena za Ku export bila dalali.Mwambie wenzake wanaolima Maembe hua wanayapeleka pale kiwandani kwa Bakhressa yanaishia kukaa nje ya geti tu mpk umjue dalali ndio mzigo wake ndani la sivyo mzigo wako utaozea hapo hapo kwny roli nje ya geti.
Sawasawa.Si tunauza yetu kwenye company tena za Ku export bila dalali.
#YNWA
Wrote from Anfield..!!
Duuu! Bonge la changamotoMwambie wenzake wanaolima Maembe hua wanayapeleka pale kiwandani kwa Bakhressa yanaishia kukaa nje ya geti tu mpk umjue dalali ndio mzigo wake ndani la sivyo mzigo wako utaozea hapo hapo kwny roli nje ya geti.
"simple like that" ... Juu ni uuajiAtenge mil 10 kila siku odd 1.5 (match 2-3)
Day 1 mil 10x1.5 = m15 (save mil 1.5)
Day 2 mil 13.5x1.5=mil20
Day 3 mil 20x1.5 =mil30
Day 4 mil 30x1.5= mil45 (save mil 5)
Day 5 mil 40x1.5=mil60
Total profit mil60 + (save total mil6.5)= mil 66.5
Simple like that.[emoji2]
Kwenda kuwekeza Mil 10 kwenye kilimo ni sawa kufanya maandalizi ya Suicide.Lima tu ila kuna siku ukianguka na pressure kabla hujakata roho uje hapa utupatie experience ya hizo senti za mkopo. Kuna jua, mvua, wadudu na kukosa soko. Siku jua limeanza utaanza maumivu ya kichwa taratibu.
Mvua ikipiga na magonjwa yakaja utakwenda choo bila kuhara, acha wadudu waharibifu. Yote Tisa, umeshafikiria vile shamba limekubali afu soko limechuna?
Umefikiria wakati hayo matunda yameiva na muda huo soko haliyahitaji? Haki ya Mungu sijui hata kama utakumbuka kukaa kwenye hicho kitochi kutupa mrejesho!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri wangu.Tafadhali nipeni msaada wazoefu, msimu gani unafaa kwa kilimo cha mazao tajwa hapo juu,pamoja na gharama zitakazotumika kuhudumia,lengo langu ni 50M mtaji nilionao cash ni 10M ,lengo langu kuwa mkulima/mfanyabiashara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huku njombe unalima msimu wowote kiangazi unafanya irrigationTafadhali nipeni msaada wazoefu, msimu gani unafaa kwa kilimo cha mazao tajwa hapo juu,pamoja na gharama zitakazotumika kuhudumia,lengo langu ni 50M mtaji nilionao cash ni 10M ,lengo langu kuwa mkulima/mfanyabiashara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kujua yafuatayoHuku njombe unalima msimu wowote kiangazi unafanya irrigation
Ukiondoa gharama ya kununua shamba, mti mmoja mpaka kuupanda unagharimu 15,000-20,000.Natamani Sana kulima miparachichi,je nikiwa na milioni mbili kuanzia kununua shamba miche vibarua nk,je naweza kuwa na miche mingapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa muda gani?Ukiondoa gharama ya kununua shamba, mti mmoja mpaka kuupanda unagharimu 15,000-20,000.
Sent using Jamii Forums mobile app
Madalali wa nini?
Ukilima kibiashara soko lako ni hizi kampuni kubwa kama azam, metl na Azania.
Kilimo biashara means unatoa vitu quality. LAZIMA VIUZIKE.
#YNWA
Wrote from Anfield..!!
Mwambie wenzake wanaolima Maembe hua wanayapeleka pale kiwandani kwa Bakhressa yanaishia kukaa nje ya geti tu mpk umjue dalali ndio mzigo wake ndani la sivyo mzigo wako utaozea hapo hapo kwny roli nje ya geti.
Ili ufanikiwe kilimo lima Kama hobbie yaani kipende kilimo nacho kitakupenda.Kulima ni sawa na kubeti unaweza ukaliwa au ukala muhimu ni kuendelea tu kulima hata ukipata hasara,at the end kuna mwaka au msimu utapata pesa na hela yako itarudi yoteTafadhali nipeni msaada wazoefu, msimu gani unafaa kwa kilimo cha mazao tajwa hapo juu,pamoja na gharama zitakazotumika kuhudumia,lengo langu ni 50M mtaji nilionao cash ni 10M ,lengo langu kuwa mkulima/mfanyabiashara.
Sent using Jamii Forums mobile app
...????[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nicheke tu mm
Kwenda sokoni bila connection ni bora uuzie shambani hivi nashangaa MTU unabeba mazao from nowhere huyo sokoni kisa kasikia sokoni bei ni sh. Kadhaa hapo katikati kuna mnyororo inabidi kila MTU ale kabla ya final consumer ikumbukwe ukitaka kula inabidi uliwe pia ukitaka soko zuri ni gharama ya pesa na mda ukubali kula deal na watu wa faida as long as kuna maslahiMwambie wenzake wanaolima Maembe hua wanayapeleka pale kiwandani kwa Bakhressa yanaishia kukaa nje ya geti tu mpk umjue dalali ndio mzigo wake ndani la sivyo mzigo wako utaozea hapo hapo kwny roli nje ya geti.