Mr JM
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 266
- 466
Mkuu chonde chonde kilimo kinachangamoto nyingi mno hasa kwa beginner utapunwa hiyo 10M yoteee uchizike niliwahi kulima nikiwa mgeni shamba LA 1.5M per acre nilitoa 3M gharama tena mazao perishable ni hatari zaidi hivyo bora ununue mazao ukae kidogo uuze japo faida kiduchu ila afadhali Ila kama mbishi Lima acre 1 upate uzoefu ulime kwa ukaribu na wazoefu.Lima mahindi na maharagwe japo umechelewa labda next season unaweza mahindi kwa kumwagilia Ila maharage yakumwagilia sio mazur Mimi zao ambalo naona haliumizi kichwa ni mahindi na maharagwe yaani simple palilizi moja Kwisha japo mahindi siku hizi tunapiga dawa ni changamoto kwa shamba kubwa maana kila mmea inabidi ipate dawa vibarua wanaripua.Tafadhali nipeni msaada wazoefu, msimu gani unafaa kwa kilimo cha mazao tajwa hapo juu,pamoja na gharama zitakazotumika kuhudumia,lengo langu ni 50M mtaji nilionao cash ni 10M ,lengo langu kuwa mkulima/mfanyabiashara.
Sent using Jamii Forums mobile app