With no matter how, usiache chuo mwaka wa tatu...malizia kipande kilichobaki, ungekuwa first year labda, wakati unamaliza masomo uwaze namna gani unaweza anza ujasiriamali huku unafanya utafiti wa kutosha juu ya hicho unachoenda kufanya, usiingie kichwa kichwa, utakuwa na possibility kubwa ya kufeli.
Mtazamo tu.